Poor thinking capacity
Nani kamwambia kuwa kuwa mkristo ndo inakupa maono ya kujua uzuri wa chama cha chadema na viongozi wake. Wangapi ni wakristo wazuri lakini wako na ccm damdam na wala hawajui na wanadanganyana ndani ya CCM?
Watu kama hawa sijui wanatokea wapi jamani! Sasa eti huyu naye ni...
Hallow fellows
I am looking for Human Resource Information System please
If you have it, or you know where I can download the best one, help me please
Thanks in advance
Kwani haya umeanza kuyasikia kwa chadema tu? mbona hata hao walioko shikilia serikali yetu nao ndio zao.
ebu fuatilia nyendo za viongoi wote hapo srikali kuu, utapata jibu
Hivi hizi ndio haina ya press conference tunazofanya Tanzanian
what is new inside that press confrerence jamani
Pumba pumba, au bado hajaanza kuongea nini?
Haya ngoja tuone mwishilio wake ni nini hapo
mwambie nikiwa kama mmoja wa wananchi wa Tanzania, simwamini kwa njia yoyote ile na najua kuwa yeye ni mwizi mkubwa wa mali zetu, hivyo basi asijumuhishe kuwa wanachi wato tunamwamini, sio kweli hao ni UVCCM tabora ndio wanaomwamini kwa kutaka kusaliti taifa letu
Fisadi mkubwa wewe
Ndivyo upinzani unavyotakiwa kuwa, na sio vyama kuungana na kushindana na CCM tu
Bali kila chama kitumie jitihada zake kukishinda chama kingine chochote kilichosajiliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.