najaribu kutafakari hapa kuhusu huu mgoomoo wa walimu
nasikia kwanza kwa sasa shule zimefunga na wanaoenda shule ni wanafunzi wa darasa la saba tu
na imefanywa hivi ili kuruhusu zoezi la sensa ambalo kwa kiasi kikubwa walimu ndio the machinery kubwa inayotumika ili kufanikisha
halafu viongozi...
[B]Madaktari na Serikali
SERIKALI KWA SASA INAENDELEA KUPIGA PROPAGAND ILIKUPOTEZA MWELEKEO MZIMA WA HILI SAKATA KWA KUTAKA JAMII NA HATA MADAKTARI WENYEWE WAANZE KUJADILI HILI KUWA ETI FLANI NI MTU AMA SIO MTU AU HIZI UNAZOSOMA NI HERUFI AU SIO HERUFI , HAHAHA MY POOR MY STUPID GOVERNMENT...
Kikao cha mkutano mkuu wa dharura wa chama cha madaktari Tanzania (MAT) kilichofanyika leo siku ya jumamosi, tarehe 14/01/2012 ukumbi wa JAFFARY COMPLEX kimejadili kwa kina yafuatayo:
1. Kwamba, chama cha madaktari Tanzania kimejadili na kuazimia kutoa masaa 72 kwa serikali kuwa Intern...
jamani wapembuzi yakininifu nafikiri tittle yangu hapo juu yajieleza vizuri kabisa..
Hivi juzi dowans iliyohusisha kashfa kubwa ya mitambo mitumba,mikataba ovyo imeasiliwa na kampuni ya kimarekani inayoojiita SYMBION mitambo ni ile ile ya richmond lakini majukwaa ya siasa yote kimya na sasa...
iMEKUWA KAWAIDA SIKU HIZI KWA WANAJAMII KUPOST VICHWA VYA HABARI TU HUMU NDANI...
HAPO TUNAKUWA HATUSHEI TENA HABARI MAANA UNAKUWA UNAIJUA WEWE MWENYEWE HALAFU SIE WENGINE TUNASHINDWA KUELEWA NA KUCHANGIA PIA INAKUWA NGUMU SASA SIJUII KAMA INAKUWA NA MAANA..
HIVYO JARIBUNI KUVIELEZEA BASI...
Country
Tanzania
United States
Leader
President: Jakaya Kikwete
President: Barack Obama
Population
40,213,200
303,825,000
GDP per capita
$1,400 US
$48,000 US
Literacy Rate
69.4%
99%
Corruption Perception Index
3
7.3
Percentage of...
tunataka kusikia viongozi wetu wanasema nini na wananchi wenzetu huku wanakopita kuwaelimisha basi andaeni documentaries halafu mtuuzie sisi tuatanunua kwa mfano hii ya arusha hadi leo hatujaipata
haya matukio ya kanda ya ziwa tunataka kuyaona pia.....
Naamini kiasi kidogo cha pesa...
Ninawashauri ccm na wale wanazi wa ccm kuacha kupiga kelele na badala yake na wao waandamane kushawishi wananchi na kuhamasisha katika hoja zao ambazo wao wanaziona kuwa zinafaa kama cdm wanavyofanya by the way falsafa ya cdm imekuwa ni nguvu ya umma kabla ya matukio ya afrika magharibi...
Mi nimeamua kutoa hii rai kwani utafaikiri tumesahau ahadi motomoto ambazo Mkwere alizitoa alipokuwa akiomba kurudi ikulu..aliahidi
¤Vivuko karibu kila mkoa ambao ulikuwa una uo uhitaji wa aina hiyo...
¤Mabasi yaendayo kwa kasi...
¤Flyovers kukabiliana na msongamano wa magari dar es salaam...
chadema tuache pigana vijembe na ccm tutapoteza dira tuchape kazi...
Ukibishana na mjinga na wewe unakuwa ......
Maana bunge linaanza kupoteza mashiko kwa kuendeleza mipasho kama linavyoendelea this should be our slogan from now on
kazi tu hakuna shobo hakuna mipasho ...
La tutaendelea...
napenda kuwasihi wanachadema kuwa wavumilivu na kuonyesha ukomavu zaidi katika kipindi hiki muhimu kwani mafisadi wanakaza uzi zaidi kwa kuwa wameshikilia mpini na wameisha wanunua wanaojiuza wengine kutoka tlpnccrdp et cetera na bi mkubwa wao caf
tafadhali nawaomba hiyo mipasho yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.