Richmond kuwa DOWANS ni kosa kubwa sana ila DOWANS kuwa Symbion ni sawa kabisa

Mazee

Senior Member
Dec 6, 2007
128
24
jamani wapembuzi yakininifu nafikiri tittle yangu hapo juu yajieleza vizuri kabisa..

Hivi juzi dowans iliyohusisha kashfa kubwa ya mitambo mitumba,mikataba ovyo imeasiliwa na kampuni ya kimarekani inayoojiita SYMBION mitambo ni ile ile ya richmond lakini majukwaa ya siasa yote kimya na sasa hadi madam secretary of state H. Clinton amekuja kuipa promo

Ina maana the americans do control our politics hapa kwetu to this level
Maana baada ya hapo si ccm wala si CDM waliojaribu to utter a word abt this....

Naomba wadau mnieleweshe labda am missing some of the issues...
 
Mwenye kampuni yupo angani anaendele kupiga business leo yupo Malaysia anazidi kutengeneza michongo!
 
mwenye kampuni yupo angani anaendele kupiga business leo yupo malaysia anazidi kutengeneza michongo!


ukiona hivyo cdm wanafanya uchunguzi then watakuja na hoja nzito uchunguzi ni muhimu sana kwa hili aisee manake ni suala zito sana....nasikia mkataka wa awali ulisainiwa mwaka jana mwezi wa 10....
 
mkuu ... hapa kilichotokea ni acquisition of power plants ...... hii ni tofauti na dowans walivyorithi mkataba wa kampuni ya kitapeli ya richmond ..... symbion wamekuja kivyao na kununua mitambo ya dowans hivyo watazalisha umeme na kuingia upya mikataba na tanesco

hata wewe kama ungekuwa na uwezo ungeweza kununua ile mitambo lakini umechelewa

kilichokuwa kinapigiwa kelele siyo mitambo ila ni mikataba mibovu
 
mkuu ... hapa kilichotokea ni acquisition of power plants ...... hii ni tofauti na dowans walivyorithi mkataba wa kampuni ya kitapeli ya richmond ..... symbion wamekuja kivyao na kununua mitambo ya dowans hivyo watazalisha umeme na kuingia upya mikataba na tanesco

hata wewe kama ungekuwa na uwezo ungeweza kununua ile mitambo lakini umechelewa

kilichokuwa kinapigiwa kelele siyo mitambo ila ni mikataba mibovu

kama ulifuatilia vizuri kitu kingine ni kuwa ile mitambo ni mitumba pia ofcoz kitu ambacho pia kilikwamisha acqusition by the gov of taanzania...
Je kwa hii scenario hii kitu inakuwaje....
 
mkuu ... hapa kilichotokea ni acquisition of power plants ...... hii ni tofauti na dowans walivyorithi mkataba wa kampuni ya kitapeli ya richmond ..... symbion wamekuja kivyao na kununua mitambo ya dowans hivyo watazalisha umeme na kuingia upya mikataba na tanesco

hata wewe kama ungekuwa na uwezo ungeweza kununua ile mitambo lakini umechelewa

kilichokuwa kinapigiwa kelele siyo mitambo ila ni mikataba mibovu


Sawa, but kwa maoni yangu kama sarakasi ndio hizi, basi ni bora tu mitambo ingenunuluiwa kipindi kile kile ilivyokua ya Richmond.
Kwa sababu tukiweka siasa pembeni, Tumeikwepa weeeee, but mwisho wa siku ndio hii tunayo. Na pengine kwa hela tunazolipa kama tozo imeshafikia hata hela ambayao tungenunulia hii mitambo.
Unakataa kununua nyumba iwe yako yoteyote kwa million 5 mwaka 2008 halafu mpaka leo nyumba hiyohiyo ushailipia kodi ya Million 6 na bado hakuna matumaini kama itafikia kipindi huitaji hiyo nyumba, huu nu ukichaa.
 
jamani wapembuzi yakininifu nafikiri tittle yangu hapo juu yajieleza vizuri kabisa..Hivi juzi dowans iliyohusisha kashfa kubwa ya mitambo mitumba,mikataba ovyo imeasiliwa na kampuni ya kimarekani inayoojiita SYMBION mitambo ni ile ile ya richmond lakini majukwaa ya siasa yote kimya na sasa hadi madam secretary of state H. Clinton amekuja kuipa promoIna maana the americans do control our politics hapa kwetu to this level Maana baada ya hapo si ccm wala si CDM waliojaribu to utter a word abt this....Naomba wadau mnieleweshe labda am missing some of the issues...
Hapa unachanganya mambo, Richmond iliingia mkataba ulioleta shida wa kifisadi na kisha Dowans walirithi mkataba na mitambo hapo ndipo ilipokuwa balaa, Symbion walichofanya ni kununua mitambo sasa usitarajie kuwepo sakata kama la awali, tunachotaka sasa kufahamu ni mkataba wa jinsi gani wameingia na serikali/tanesco kama niwa kifisadi basi utasikia tu mambo ya kiibuliwa
 
mkuu ... hapa kilichotokea ni acquisition of power plants ...... hii ni tofauti na dowans walivyorithi mkataba wa kampuni ya kitapeli ya richmond ..... symbion wamekuja kivyao na kununua mitambo ya dowans hivyo watazalisha umeme na kuingia upya mikataba na tanescohata wewe kama ungekuwa na uwezo ungeweza kununua ile mitambo lakini umechelewakilichokuwa kinapigiwa kelele siyo mitambo ila ni mikataba mibovu
Kama ni hivyo kwanini mlipiga kelele Rashid na Zitto waliposhauri hiyo mitambo inunuliwe na Tanesco? Sasa Tanesco wameikosa na Dowans wanawalipa na Symbion wanainunuwa. Uzuri ni kwamba nimesikia tetesi kuwa Symbion wanalipa na lile deni la Dowans on condition Tanesco wakubali kununua umeme wao. "Damned if you do Damned if you don't"
 
Kama ni hivyo kwanini mlipiga kelele Rashid na Zitto waliposhauri hiyo mitambo inunuliwe na Tanesco? Sasa Tanesco wameikosa na Dowans wanawalipa na Symbion wanainunuwa. Uzuri ni kwamba nimesikia tetesi kuwa Symbion wanalipa na lile deni la Dowans on condition Tanesco wakubali kununua umeme wao. "Damned if you do Damned if you don't"

go to hell

usiwe mbishani tuu pasipo kutumia logic, tanesco wameshindwa kuendesha hydro power plants na thermo power plants za miaka ya 1947 leo hii unataka uwape gas turbines za kimarekani tena hizi ni kwa ajili ya emergency plan

after all tanesco wanapata wapi pesa za kununua mitambo kama si kutoka kwenye government coffers ambapo itabidi serikali iongeze kodi kwenye bidhaa kadhaa ili ku recover pesa hizo na mzigo unaelekea direct kwa mwananchi


tanesco is not a credible public institution together it is a failed public institution like TPDC and NASACO

we have already created our own monster which is TANESCO
 
Kama ni hivyo kwanini mlipiga kelele Rashid na Zitto waliposhauri hiyo mitambo inunuliwe na Tanesco? Sasa Tanesco wameikosa na Dowans wanawalipa na Symbion wanainunuwa. Uzuri ni kwamba nimesikia tetesi kuwa Symbion wanalipa na lile deni la Dowans on condition Tanesco wakubali kununua umeme wao. "Damned if you do Damned if you don't"


Uchakachuaji mbele kwa mbele conditions walizopewa zitawatokea puani
 
Back
Top Bottom