Mazee
Senior Member
- Dec 6, 2007
- 128
- 24
najaribu kutafakari hapa kuhusu huu mgoomoo wa walimu
nasikia kwanza kwa sasa shule zimefunga na wanaoenda shule ni wanafunzi wa darasa la saba tu
na imefanywa hivi ili kuruhusu zoezi la sensa ambalo kwa kiasi kikubwa walimu ndio the machinery kubwa inayotumika ili kufanikisha
halafu viongozi wa walimu wanaibuka kuwa kuanzia jumatatu wanaanza kugoma mhhh what is this??
Kuna nini hapa maana nashindwa kung'amua kilicho chini ya kapeti kwa urahisi
Je si maigizo haya?mwenye kufahamu aanijuze tafadhali mie nimeishia hapa katika kufikiri...
nasikia kwanza kwa sasa shule zimefunga na wanaoenda shule ni wanafunzi wa darasa la saba tu
na imefanywa hivi ili kuruhusu zoezi la sensa ambalo kwa kiasi kikubwa walimu ndio the machinery kubwa inayotumika ili kufanikisha
halafu viongozi wa walimu wanaibuka kuwa kuanzia jumatatu wanaanza kugoma mhhh what is this??
Kuna nini hapa maana nashindwa kung'amua kilicho chini ya kapeti kwa urahisi
Je si maigizo haya?mwenye kufahamu aanijuze tafadhali mie nimeishia hapa katika kufikiri...