Mazee
Senior Member
- Dec 6, 2007
- 128
- 24
Mi nimeamua kutoa hii rai kwani utafaikiri tumesahau ahadi motomoto ambazo Mkwere alizitoa alipokuwa akiomba kurudi ikulu..aliahidi
¤Vivuko karibu kila mkoa ambao ulikuwa una uo uhitaji wa aina hiyo...
¤Mabasi yaendayo kwa kasi...
¤Flyovers kukabiliana na msongamano wa magari dar es salaam
¤Treni la kasi..
¤Zingine wadau naomba mnisaidie na kama kuna ambazo nimemsingizia mzirekebishe....
Ni stahili yetu jamani wala tusisite kuzidai..
¤Vivuko karibu kila mkoa ambao ulikuwa una uo uhitaji wa aina hiyo...
¤Mabasi yaendayo kwa kasi...
¤Flyovers kukabiliana na msongamano wa magari dar es salaam
¤Treni la kasi..
¤Zingine wadau naomba mnisaidie na kama kuna ambazo nimemsingizia mzirekebishe....
Ni stahili yetu jamani wala tusisite kuzidai..