Wadau, moja kwa moja kwenye mada:
1. Utangulizi.
Maendeleo ya teknolojia huenda yamewafikia panya wasumbufu na waharibifu majumbani mwetu. Siku hizi wanakwepa mitego, wanatambua na kukwepa sumu na huku wamezidisha chokochoko na kujengeana hasira. Mtu ukiwa na bunduki waweza jikuta unamfyatulia...
Nilichojifunza:
1. Kama ametumia huo mkopo kujengea nyumba, anailipia Kodi ya 451K na baada ya miaka michache nyumba itakuwa yake.
2. Kama amewekeza kwenye biashara yenye faida zaidi ya 451K kwa mwezi, mapato yake hayajaathirika na baada ya miaka michache atakuwa anajilipa nusu ya mshahara wa...
Pamoja na safari hizi kuhusishwa na Uchagga, mimi naziita "The Great Annual Festival Trek" kwa Tanzania. Zinazidi kubeba taswira ya utaifa kutokana na kuoleana na influence walizo nazo wachagga kwenye familia zao wawe wanaume au wanawake. Zimekosa tu "Promoter". Ni hivi mimi nimetoka Mbeya kuja...
Wanabodi, imekuwa siku mbaya sana kwangu na wengi ninaowashuhudia katika barabara ya Ally Mwinyi. Kupigana pasi, kuzimika magari, bodaboda kuanguka-kuinuka-kuanguka tena, misafara isiyofuata taratibu, maandamano yasiyo na kibali toka kila pande za mjini kati nk. Kifupi mvua imetukomesha wengi.
Wakuu heshima kwenu. Naomba yeyote anayejua dawa yoyote ya kutibu kikojozi anishauri. Nina mwanangu ana umri Wa miaka 11 bado anakojoa kitandani. Juhudi za kumsaidia aache ikiwepo kumwekea alarm zimeshindikana. Nawasilisha.
Wewe utakuwa unazungumzia UDOM ya Central African Republic. UDOM ya Tanzania na haswa Idara niliyopo First Class ya Kwanza na pekee baada ya miaka 10 ilipatikana mwaka jana. Lakini sasa, wana UDOM wenye GPA za 2.5 wanawashinda wenye GPA za 4 kutoka vyuo vingine vikiwepo ulivyovitaja inapokuja...
Una maanisha TAMISEMI au vinginevyo? km ni hao kwa kweli wanaboa na wameshindwa kwenda na kasi ya Mhe Jaffo. Utaratibu wao ni kutoa majina Januari na Julai. Nimepata taarifa majina ya Julai yatatoka Septemba 2018.
Kwa uzoefu wangu hapa JF, "application for admission" ikishafunguliwa tu na TCU ndio hizi threads za kipuuzi huibuka. UDOM bado ni tishio na itaendelea kuwa tishio. Naamini katika 10 aliowahoji huyo mtangazaji uchwara, 8 au 9 walijibu vyema ila yeye kachukua wale waliokosea. Afisa Uhusiano wa...
Mimi nakumbuka Mramba alivyokuwa anaamshwa usiku wa manane, kutoa sababu kwa nini kituo X, ndani huko kijijini hakikuwa na umeme. Alikuwa anajitahidi sana kutoa majibu. Tenda wema uende zako usingoje shukrani. Imeniuma sana ingawa pia sikutaka ongezeko la bei.
Wadau, kuna habari imetoka Radio Free Africa kwenye kipindi cha matukio leo asubuhi (21 Julai 2016) kwamba kuna mkazi mmoja wa Singida anatarajia kusafiri na baisikeli hadi Dodoma pamoja na mwanae mdogo kuhudhuria mkutano mkuu wa CCM. Umbali toka Singida hadi Dodoma ni karibia kilometa 250...
Mkanganyiko wa udahili kati ya Jesca na “Vilaza” utakuwa gumu hata kama Baba J. atataka amwondoe ili kusawazisha mambo. Kimsingi kudahili na kufukuza mwanafunzi wa ngazi yoyote chuo kikuu kwa mapungufu ya kitaaluma ni kazi ya kisheria ya SENETI ya chuo husika. Pia SENETI ndio chombo kinachoamua...
Soon "Things shall start falling apart" kumbuka story ya Ikemefuna kwenye riwaya ya Achebe. Jambo muhimu ni kuwa wanakuita BABA.The most extreme end would be to assume adoption.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.