Toleo jipya la Android 4.4 litaitwa KitKat na sio kama tulivyo talajia kuitwa Key Lame Pie,
KitKat malengo yake ni kufikisha matumizi madhubuti ya Android kwa kila mtu
Historia ya Android iko namana hii
Android Beta: Astro
Android Beta: Bender
Android 1.5: Cupcake
Android 1.6: Donut...
SAUT Mwanza imetoa List of first year applicants-2013/2014
unaweza ingia link hii Saint Augustine University of Tanzania » Applicants Selected to Join Various Degree Programmes 2013/2014 au download attachment
UDOM imetoa List of first year applicants-2013/2014
unaweza ingia link hii List of first year applicants 2013/2014-First batch - List of first year applicants-2013/2014 au download attachment
Watumiaji wengi wa Android suala la Ads katika Apps linatuchukiza sana,
hapa nitaeleza njia ya kuondoa
Ads.Mahitaji:
1. Simu ya Android iliyokwisha Kurutiwa.
2. Lucky Patcher App (http://lucky-patcher.netbew.com/download/files/Lucky%20Patcher%20v3.5.2.apk)
Namna ya Kuondua Ads...
kume kua na umuhimu mkubwa kutoa taarifa na elimu juu ya ku root android devices leo nimeona sio mbaya tushirikishane kile tukijuacho kuhusu rooting.KABLA YA KUANZA: KUROOT SIMU YAKO KUTA BATILISHA WARRANTY NA MUUZAJI ALIE KUUZIA, PIA ROOT AT YOUR OWN RISK I WILL NOT BE HOLD RESPONSIBLE FOR ANY...
Sony has announced yet another redesign to their popular PlayStation 3 console Just like the last one that came out three years ago, this one cuts down on the size and weight by being 20% smaller and 25% lighter than the previous Model.
Internally, the new console seems to be pretty much...
Najua vijana wangu macho yote yako kwa HESLB mkisubiri % za mikopo, nataka kuwajuza kua kilicho kua kikisubiliwa ni zoezi la wale walio kosea kujaza form za mikopo ambapo zoezi hilo limeisha rasmi 29/08/2012, so tegemee ni mambo kua wazi siku na saa yeyote kuanzia 1st September.
Pia naomba...
Najua wengi mtaanza kujiuliza Huyu jamaa ni nani?? hamuwezi jua maana JF mlivutwa na ze duduz.
Senator ametoa mchango mkubwa sana katika ushauri wakati wa michakato ya uombaji wa vyuo na mikopo, kwa wadau wa Jukwaa la Elimu nadhani mnamfahamu, naanzisha uzi huu Kama shukrani kwake kwa...
Ndugu wana JF naomba tu shee direct sites za kudownload vitu mbalimbali kuanzia Movies, TV Series, Music,Music Videos, Softwares,Games na Hata Vitabu. wadau Jukwaa ni lenu
Ndugu wana Jamvi la ELIMU kama mada inavyo jieleza, naomba kuuliza kama kunauwezekano wa Mtu alie soma degree ya Mining akaja kuchukua Masters ya Petroleum? hii ni kutokana na upungufu wa vyuo vinavyo toa degree ya petroleum hapa nchini! Kama haiwezekani pia naomba kujua kua kama mtu kachaguliwa...
Wale wapenzi wa Nokia kama chief-mkwawa natumai mnazikumbuka Nokia zenye Viuno kama vile Nokia 3250(iliyo tumika kwenye wimbo wa Rihanna UNFAITHFUL)
na Nokia 5700 Express Music
Sasa Mnaomaje tukipata kitu kama hivyo chenye Windows Phone 8??
Here it comes Nokia Lumia X with WP8...
Haya kwa wapenzi wa android na Tablets kwa ujumla Google hivi karibuni wame tangaza kifaa kipya kwa chenye bei nafuu kupindukia, si kingine bali ni Google Nexus 7 kilicho tengenezwa na kampuni la ASUS, Google Tablet yenye uwezo mkubwa na BEI ndogo kuliko unavyo fikiri kwa US $199 kwa 8Gb version...
Habari wana Jf, katika kufuatilia mchakato wa udaili wa wanafunzi katika CAS(Central Admission System) ya TCU nimekutana na category moja imeongezwa ambayo ni Qualification Status, ambapo kila faculty utakayo omba unawekewa kama uko Qualified au Not Qualified. Nawapongeza TCU kwa kuweka hichi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.