NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 590
Haya kwa wapenzi wa android na Tablets kwa ujumla Google hivi karibuni wame tangaza kifaa kipya kwa chenye bei nafuu kupindukia, si kingine bali ni Google Nexus 7 kilicho tengenezwa na kampuni la ASUS,
Google Tablet yenye uwezo mkubwa na BEI ndogo kuliko unavyo fikiri kwa US $199 kwa 8Gb version na US $245 kwa 16Gb Verizon, pia utapewa Kianzio cha US $25 kwaajili ya manunuzi kwenye Google Play Store.
Kwa ufupi kifaa hiki kinatumia Android 4.1 Jelly Bean na kina Hardware za kutosha
1.3GHz Quad core Nvida Tegra 3 chipset
1Gb RAM
7" (1200x800)LED IPS Display
8/16Gb internal memory
1.2Mp camera ya mbele yenye uwezo wa kurekodi hadi video za 720p
Wi-Fi b/g/n
Na vingi vizuri.
Ili kuhakikisha bei inakua ndogo kifaahiki haki support technolojia ya mawasiliano ya simu yaani huto weza piga wala kutuma SMS na kutumia internet kwa line za simu bali kwa Wi-Fi pekee, Pia kifaa hiki hakina kamera ya nyuma.
Kwa sasa kiko katika oda kwa nchi za USA,BRITISH,CANADA na AUSTRALIA, katikati ya mezi wa saba kitapatikana zaidi. Kwa wapenzi wa technology wenye kipato cha chini huu ndio muda sasa $199 sio ya kutisha kama bei ya iPad au Samsung Galaxy Tablets. Waweza pitia HAPA kwa maelezo ya kiteknolojia zaidi.
Pia pitia video hizi YouTube
NAWAKILISHA
Kwa ufupi kifaa hiki kinatumia Android 4.1 Jelly Bean na kina Hardware za kutosha
1.3GHz Quad core Nvida Tegra 3 chipset
1Gb RAM
7" (1200x800)LED IPS Display
8/16Gb internal memory
1.2Mp camera ya mbele yenye uwezo wa kurekodi hadi video za 720p
Wi-Fi b/g/n
Na vingi vizuri.
Ili kuhakikisha bei inakua ndogo kifaahiki haki support technolojia ya mawasiliano ya simu yaani huto weza piga wala kutuma SMS na kutumia internet kwa line za simu bali kwa Wi-Fi pekee, Pia kifaa hiki hakina kamera ya nyuma.
Kwa sasa kiko katika oda kwa nchi za USA,BRITISH,CANADA na AUSTRALIA, katikati ya mezi wa saba kitapatikana zaidi. Kwa wapenzi wa technology wenye kipato cha chini huu ndio muda sasa $199 sio ya kutisha kama bei ya iPad au Samsung Galaxy Tablets. Waweza pitia HAPA kwa maelezo ya kiteknolojia zaidi.
Pia pitia video hizi YouTube
NAWAKILISHA