haya haya asiye na mwana aeleke jiwe Bishanga hana mke leo ana mtoto Mamndenyi njoo na kengele ya watoto unibembeleze leo nimekuachia mume kwa muda nilee vizuri kwa siku ya leo ndo kuzaliwa kwangu
ni kwa neema ya Mungu amenipa uzima na afya tele katika kipindi chote cha ujauzito Asante Mungu wa majeshi nashukuru kwani wengine wameweza na wengine hawakuweza lakini mimi bwana amenipa uwezo jina lake lihimidiwe namwomba atuongoze kwani safari tuliyo nayo ni ndefu sana.cc: Karucee asante kwa...
MUNGU awatangulie mfike salama japokuwa mimi binafsi nilipenda sana kuungana nanyi kwa sababu zisizo zuilika nimeshindwa safari njema.MUNGU ATAWALINDA MTOKAKO NA MUINGIAPO AMINA.
Ni leo tena huwa natoa ushauri mara moja kwa mwaka na leo umeangukia kwa kakaangu kijana wa mjini huyu barobaro Erickb52 ambaye huwa ananitaka sana japokuwa sina mpango na kijana asiye Bikra kuwa ASIVUKE MOTO UTAMUUNGUZA kwa kawaida sie walimu wa kiswahili kwa kuzingatia ule msemo wa asiye jua...
Too bad gfsowin anauguza na Zinduna kaishia wapi sijui namkabidhi hii kazi Madame B naomba unifundie mume kaniudhi kwenye ule uzi wa lofa mmoja anajiita somebody utumbo
Tabia gani hiyo ya kuhonga honga mwanaume asifiwi kwa kuhonga anasifiwa kwa uwajibikaji katika family Asprin Njoo umfunde mwenzio sijamtia machoni toka Idd
Tangu hilo tangazo litoke huyu member participation imepungua amekonda kwa mawazo usihofu my sugar in the tea Bishanga atakulipa mafao yako.nakuona unagonga vi like vilivyokonda come front bac
Tunatangaza kuwepo na pre-birthday party ya tajiri la kihaya kuanzia leo tarehe mosi mwezi wa nane .angalizo hatuhitaji kamati wahudumu wapo wa kutosha.itakuwa inafanyikia Kilimanjaro hotel hadi siku yenyewe ambayo itafanyikia RUSSIA usafiri utakuwepo wa pipa kwa wale wa mikoani.hatuhitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.