Daaah kama miaka miwili iliyopita alitoa wimbo wake nilioupenda sana, kuna watu wana vipaji,sas nimeiona wimbo wake mpya mtam pia nkaona sio mbaya kumsapot kiivi...icheck pia to see if its worthy
Kwahiyo waalimu wanatafta justice?
Jamii imara na yenye maadili haiwez kujengwa na Adults(waalimu) kuepuka kuwajibika kwa kutafta justification of wrong deeds, ukweli ni kwamba waalim wa mbeya day walitenda kosa na wanastahili kuwajibika kwa haki, na sio kutafta ushahid wa kuhalalisha uovu...Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.