Kama kawaida kwenye Kombe la Dunia huwa nawaletea picha na matukio yanayoendelea ndani ya uwanja na nje ya uwanja bila kusahau mitaani wakati wa Kombe la Dunia kwa wale wahenga wa Jamii F wa jukwaa la Picha wanajua sasa tutaanza kuwa pamoja kama kawa.
Mimi ni mmoja wa mtumiaji wa mtandao wa Twitter karibu wiki nzima iliopita kuna uchaguzi uliokuwa unaendelea huko twitter kumchagua Rais wa Twitter Tanzania kama walivyotolea maelezo kwenye vituo vya redio na tv wahusika wa jambo ilo.
Ni jambo zuri sana na mimi nalipongeza ilo na pia napongeza...
Mbunge wa jimbo la Bunda,Ester Bulaya amekamatwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza na kulazimika kulala rumande baada ya kunyimwa dhamana.
Polisi walivamia Hoteli aliyofikia mbunge huyo na kumkamata majira ya saa 7 usiku na kisha kumpeleka kituo cha kati cha Jijini Mwanza akiwa ameambatana...
TANZIA:
Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam leo saa kumi jioni.
CCM Wameandika kwenye twitter yao.
Historia Fupi ya Marehemu John Komba
Marehemu Kaptain Komba alizaliwa Marchi 18 mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.