Zama zimebadilika kabisa, na sisi wazazi hasa wa kuanzia miaka ya 1980's ndio tunawalea watoto kama ambavyo sisi tulilelewa kwa kuwaambiwa waende shule kusoma ili wapate kazi. Kwa mtindo huu tunatengeneza taifa tegemezi.
Inasikidisha kwakwel.
Lakin baya zaidi ni kwamba vijana wengin wanakosa utayari wa kujitoa , hata ukiwapa kazi hawana morali wala juhudi wala nidhamu, unaishia kuwaangaliaa na kusikitika.
Maisha ya fasta fasta kwa kiwango kikubwa yamewaathiri, hawana utayari kabisaaa wa kujipa muda wa...
huwa kuna kitu kinaitwa facts halafu kuna kingine huitwa opinions.
Sio rahis sana kuvitofautisha hiv viwil maana mara nyingi hutegemeana sananna mtazamonwa mtu/watu kuhusu a particular subject.
But kuna namna ya kujua kipi ni kipi na njia bora yabkufanya hivyo, u just check the numbers. Numbers...
Mnamkalishaje pembeni wakat mshamoa his over 45% ya umiliki. Haya ni mambo ya kimikataba na ili hilo liwezekane ni yeye kuamua kuuza hizo hisa kwa hiyari yake au hisa zenu hizo za over 50% mumuzie muwekezaji mwingine awe na nguvu kuliko Mo na nyie mbaki na 0,muwe washabiki rasmi
Ahaha umewaza siko kabisa chief. Ni mtu wa kawaida kabisaa hana maisha haaayo ni humble person kaz yake ni driver wa halmashauri..hana biashara kusema kafanya kafara. Ni mtu wa average kabisa. Na hii kitu mpaka leo huwa inam stress sana kuna muda unaona kabisa hayuko sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.