huko si mbarali mkuu, huku kwetu mm sijawai shuhudia tukio hlo, ndo maana nimemuomba rais safar nyingine alilete huku kwetu ili nishuhudie live.Wewe kweli una mwaka mmoja au, miaka kadhaa iliyopita watu walimiminika mbarali Mbeya kwenda kushuhudia kupata kwa jua, mida ya saa sita mchana ulikuwa ujazaliwa.
Huku kwetu sijawai ona ndo point yangu, suala la umri linatoka wap sasa?Una umri gani?
Without doubtHapo ndo naiheshimu sayansi!
Kwa kutumia kanuni zake, tunaweza kujua siku, muda, na maeneo ambayo tukio hilo litatokea.
Wachawi mko wapi?
jf viaz ni wengi mkuuHahaha. Jamaa amefanya kejeli hapo.
tunamshukuru sana rais kwa kufanikisha kupatwa kwa jua, safari nyingine alete kupatwa kwa jua huku kwetu maana tangia nizaliwe sijawai shuhudia tukio hilo
Sio kweli.Usipotoshe watuNi moja ya dalili za kiama
AnalogHapo ndo naiheshimu sayansi!
Kwa kutumia kanuni zake, tunaweza kujua siku, muda, na maeneo ambayo tukio hilo litatokea.
Wachawi mko wapi?
Bado kuna wanaoamini dunia ni tambarare!Hapo ndo naiheshimu sayansi!
Kwa kutumia kanuni zake, tunaweza kujua siku, muda, na maeneo ambayo tukio hilo litatokea.
Wachawi mko wapi?
huku kwetu kihinga sijawai ona mkuu, tanzania kubwa etIlitokea Tanzania 2016 ... ulikuwa wapi ?
Huko marekani si kutakuwa usiku na wamelala?Leo jua litapatwa yaani mwezi utafunika jua na kufanya mchana giza litande na uonekane kama usiku lakini kwa asilimia kubwa maeneo watakayofaidi ni marekani Canada na Mexico. Nchi nyingine tutaona angalau kupatwa kwa jua Kwa sehemu tu.
Huko marekani si kutakuwa usiku na wamelala?
Balozi wa Marekani hapa Tanzania amefikisha salam za shukrani kwa Mama kutoka kwa Biden kwa kuifanya nchi Yao kuwa mojawapo ya nchi zitazofaidika na kupatwa kwa juaAsante mama Samia kwa kuwezesha hili
Umenikumbusha Mwaka ulee Mbeya!!! Eti Mungu katufunulia mtu wake🤣🤣🤣🤣🤣Asante mama Samia kwa kuwezesha hilo