Pia itasaidia kupunguza makaratasi kwenye kioo kama sticker ya fire ilivyounhanishwa kwenye road lincence,mfano mzuri ni magaya biashara na haswa P. S. V kuna sticker za kufa mtu kwenye kioo mara sumatra, road licence, insurance, sticker ya kuonyesha kwamba umelipa kodi ya mapato, na kulikuwa...
Hawa jamaa ndio wanasababisha hata bei za pickup ziwe juu aisee yaani watu tnatafuta pickups za kupigia za kubebea mizigo wao wanachukua za kufungia machine gun
C.Thady
1. Inawezekana ikawa kweli
2. Inawzekana ikawa uzushi
Sababu ya kwanza kwamba ni kweli ni kwasababu siku hizi wanaumwenao washakua chakula kama vyakula vingine hivyo sio ajabu , na kwa nchi za wenzetu mwanaume anajivunia kabisa kwamba na yeye ni wali maharagwe hivyo ruksa kulia kama...
https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/840813-kabla-ya-kuzaliwa-na-baada-ya-kufa-sisi-wanadamu-tunakuwa-wapi-education-is-power.html
jamaa yuko nje ya mwili saahizi naona amesahau kukutag akirudi kwenye nomal astra atakuja na mada nyingine nmona nikusaidi kwa kukupa link kama hujaiona
hawa wadudu washenzi kwelikweli.
wengi wao wanawasema waume zao au maboy friend zao sasa wakajua wote tuko hivyo ndio maana mke wa mtu akitoka nje ya ndoa anaweza asirudi maana huenda ndani wanakutatana na vitu vya ajabuajabu
mtu kama kaolewa na mbeba mizigo kariakoo anarudi jini anapitia...
juice ya ngano.
unatengeneza kitalu kama bustani kama sehemu ni ndigo chukua hata kasha la kupanga chupa za soda, bia au nyanya, jaza udongo piga vijimistari kila baada ta sentimita mbili, kisha sia mbegu za ngano mwagilia kwa siku ku mpaka kumi na nne kisha vuna saga kwa masine ya blender...
Gawaneni hizo riski na mistuko itakayowaletea mioyo kusimama na makapuni ya bima jamani.
Hata bila kuazima magari ukiwa nalo mwenyewe unakuwa na amani madhali umeyoka mzima basi una uhakika wa kulibwa garama za matengenezo au gari nyingine kwa garama ambayo sio kubwa kwako.
Jamaa alipaki gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.