Mbunge hakai atamkalisha misifa may..
na itabidi achange name maana May utakuwa ni mwezi wenye mkosi kwake..atajiita Januaryweather
Mbunge hakai atamkalisha misifa may..
Hamna game lisilo na mshindi..
Hata akipigwa..?
Zimetengwa US $200m. Hapo Mayweither anapata 60% na MP anapata 40%.
Inasemekana Mayweather ataramba kitita cha dola za kimarekani milioni 180
Akishinda pambano
Manpac anashinda tena kwa point chache tu.. Na live updates ziwepo humu ndani.
mkuu ni $300
Una uhakika?
Mathalani timu mbili A na B zikicheza mpira wa miguu na matokeo yakawa magoli 2 - 2, timu gani ni mshindi hapo?
Na vipi matokeo ya masumbwi ambayo jumla ya points za majaji hulingana kwa mabondia wote wawili, huwa kuna bondia hutangazwa mshindi?
Hata akipigwa..?
ndio.
haya mapambano huwa kunamikataba wanasaini.
Mayweather atachukua asilimia 60(dola milioni 180) na Pacquiao asilimia 40(dola milioni 120)ndio walivyokubaliana. Haijalishi nani kashinda.[/QUO
kuna hela za mshindi pembeni
Tarehe 2 may 2015 itakuwa hivi manpac atamkalisha mayweather.
Zimetengwa US $200m. Hapo Mayweither anapata 60% na MP anapata 40%.
Inategemea na competition gani na umuhimu wake kama linahesabu points au mshindi lazima apatikane hapo kama ni draw ya mpira watapewa extra time kama bado penalty shootout.
Kama masumbwi ikitokea points zipo sawa ambapo huwa ni nadra Sana baada ya pambano tu haraka wanarudishwa ulingoni na ikishindikana tena aliyekuwa na mkanda anarudi nao.
Hivi kwa sisi tunaotumia ving'amuzi vya startimes tutaona huu mtanange kupitia chanel gani? Nijuzeni wenzangu unaofahamu.
ndio.
haya mapambano huwa kunamikataba wanasaini.
Mayweather atachukua asilimia 60(dola milioni 180) na Pacquiao asilimia 40(dola milioni 120)ndio walivyokubaliana. Haijalishi nani kashinda.[/QUO
kuna hela za mshindi pembeni
inawezekana maana mi sio mfuatiliaji wa boxing ndio kwanza hii battle imefanya nimjue Mayweather hapo kabla nilikuwa siujui.