Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Malata sio hicho tu kama na yeye anaweza kuigiza basi aanze na kuweka MB 200 kwa kila mtanzania ili awe Kiongozi bora😂😂😂😂😂😆😆😆😆
 
Kwamba msafara umekutana na Sita ikabidi ausubiri kwa muda, what a coincidence! Yale mashinikizo yake ya moyo leo hatopata usingizi.
 
View attachment 237090View attachment 237091

Leo katika Hali isiyo ya kawaida wachungaji wavamia Eneo la Area D ambapo ni Makazi ya viongozi mbali mbali wakimsaka Edward Lowassa. viongozi hao wa dini walikuwa na shauku kubwa na nyuso za furaha wakiimba nyimbo za matumaini Mapya na Edward lowassa.

Aidha misururu hio imesababisaha Ndugu Samwel Sita kusubiri kwa Muda kupisha viongozi hao kwenda kuiona nuru ya MATUMAINI. pia ilimuwia vigumu ndugu Fredric Sumaye kuwahi appointments yake na Spika wa Bunge kupisha msafara takatifu kwenda Jirani yake Edward Lowassa.

Mambo yanazidi kupamba moto kuelekea nuru ya matumaini kwa Watanzania ambao mara zote wamuonapo Edward Lowassa hupata faraja.

Wachungaji hao wametabiri na kuahidi kunena kwa vitendo, na mpaka sasa bado wanaendelea kujieleza ni nini wanacho muahidi bwana Edward Lowassa kama balozi wamuaminiye katika safari ya MATUMAINI,

Nitaendelea kukujuza.

MAAMUZI NA MATUMAINI MAPYA NA EDWARD LOWASSA 2015.
Hayo maandamano yao yana baraka za polisi?
 
Hivi kweli tumefikia hatua hii kama Taifa.......mpk viongozi wetu wa dini nao wameingia kwenye huo mkumbo?
MUNGU ATUSAIDIE.

Tutajuaje kama ni viongozi wa dini kweli? Wanaweza kuwa waganga njaa tu, wamevaa mavazi ya kichungaji. Usanii mwingi siku hizi.
 
Ni hatari sana viongozi wa dini kujiingiza katika siasa ,hembu mwenye quote kutoka kwenye biblia na QUran takatifu wazilete hapa
 
teh teh movie inaendelea kumbe! wale walikuwa mashehe ubwabwa hawa sijui tuwaiteje!
 
Hawa wachungaji toka kona zote za nchi ni lini walikutana wakaafikiana kuwa mgombea anayefaa ni huyo! Hii ni zaidi ya usanii, ni hatari sana. Vyombo vya usalama viamke.

Kwani wakikutana mpk wakupe taarifa?
 
ccm wenyewe ndio mataahira,wacha awavuruge wanashindwa nini kumfukuzilia mbali kama zito,kwani lowassa ana nini ni hizo pesa?so ukiwa na pesa everythings possible? basi bakressa awe rais,wanacheka na nyani haya wacha tuone
 
Watanzania ni kama manyumbu tu,huyu mtu kashafanya dhambi nyingi hadi shetani CCM anamkataa,lakini leo viongozi wa dini uchwara wanamlilia.Very pathetic.
 
Usalama wa Taifa hawaujui ujinga huu?Viongizi wa kuukemea ujinga huu wako wapi?Taifa hili linaenda wapi?Halmshauri kuu ya CCM wanapaswa kutopitisha jina la mtu huyu.
 
Lowasa ndiye Rais, ndugu yangu. Kwa mtu mzima lazima uwe na macho ya kuuona mwisho kabla ya hata huo mwanzo hujauanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom