Fanya mazoezi, jishughulishe , usipende kukaa peke yako maana mawazo huanzia hapo, epuka vijiwe vyenye stories ya mademu, .. yote kwa yote bado hujapata majukumu, ukipata hiyo hamu itakuwa mbali kama mbingu na ardhi
Nafiriki wao wanatoa Certificate &Diploma akaona umezid mnoo kuwafundisha hawa how vijana, pia nafikiri alishtuka kuona mutu mwanye PhD kuja kufanya kazi kwale, kama haitoshi yawezekana hukujieleza vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.