Wewe unasikia sisi ndio tunaishi na ,,kuna fukukuto lakini huwezi kufananisha na maeneo niliyoyatajaHuko kigamboni ndo nasikia kuna fukuto linalosababishwa na humidity
Wanasema ac za size sawa katika mazingira sawa, yenye inventer inakula umeme mdogo kuliko isiyokuwa nayo.Kiongozi hizi AC za Inveter zinapunguza kasi ya ulaji wa umeme au ni stori tu ,maana kuna jamaa naona kaleta uzi yake ina inveter na mie haina inveter ulaji wake sawa tu naona ,? Ebu nipe ufafanuzi hapa
Uko sahihi mkuu japo LG wanadai ac zao zina inventer mbili so inapunguza kwa 70%.
Hizi zitakuwa too expensiveUko sahihi mkuu japo LG wanadai ac zao zina inventer mbili so inapunguza kwa 70%.
View attachment 2861891
Sasa chief, kwa kuwa joto la dar kinachosababisha watu wahisi joto ata sio jotoridi bali ni unyevu.Air cooler tu hiyo, kuna zile wanaweka maji then ina blow cold air.
Maji yakichemka* hahahahahaaaaaaaah😂ukiweka maji ya kawaida haina tofauti na feni
maji yawe ya baridi, na kila mda uwe unabadilisha maji kila yakipoa, hapa ndiyo uta enjoy
InterestingNilikuwa dessert la Uarabuni miaka ya nyuma
Kitu nilichoshaa pamoja na joto la nyuzi zaidi ya 50
Ila unakuta watu wanaishi kwenye mahema na nguo zao zimeshonwa kwa manyoa ya kondoo
Wanavaa kwenye joto hilo
Niliuliza local hapo wakasema kama unavaa nguo nzito kujikonga na baridi na hivyo hivyo unavaa nguo nzito kujikinga na joto strange but true
Na maji nilikuwa sinywi ni mwendo wa chai tu chunguza kwa nini wanakunywa chai kwenye joto pia
Strange WorldInteresting