Nikija kuomba mkopo bank ukianza kuniwekea vikwazo ili nikupe rushwa ntakupa kweli rushwa ila nami ntaandaa mazingira ya kukumiza mahali hasa kwenye marejesho.
Maafisa wa bank acheni kuomba rushwa kwa wateja wenu.
Mustafa Haidi Makunganya Mkulo (born 26 September 1946) was a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Kilosa constituency 2005–2015. He died on 3 May 2024.
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Kilosa na Waziri wa Fedha awamu ya nne Mustafa Haidi Mkulo amefariki dunia 03 Mei 204 usiku wa kuamka leo hospiali ya Muhimbili.
Atazikwa kwao kijiji cha Kimamba Wilayani Kilosa mkoa wa Morogoro siku ya Jumapili majira ya saa 7 mchana.
Mungu amlaze mahali pema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.