Rasmi harakati za kuijenga Simba upya zaanza.

DATAZ

JF-Expert Member
May 25, 2012
2,586
6,389
Screenshot_20240507-185148.jpg
 
😂😂😂😂 kitu angalau nimeshuhudia kwenye maisha yangu ya soka ni
1.simba yenye Kila kitu ikipigania nafasi ya 2
2.Mtibwa sugar akishuka daraja.
NB:
Yanga yenye matatizo ya kifedha na ikiishi kwa kutembeza bakuli ilidominate nafasi ya pili bila shida.
Ikumbukwe Simba hii inayohangaikia nafasi ya 2 na huenda wasipate wanakipa Bora kutoka Morroco na walikuwa na kocha mshindi wa makombe makubwa mawili na mwekezaji ambae ndie tajiri namba 1 afrika kwa vijana
 
Hakuna kitu kibaya kama unatatizo linakusumbua lakini hujui ni Nini kilisababisha tatizo
 
Katika kitu nilifurahi backdays ni kushuka daraja kwa lipuli ya Iringa, mwaka huu nafurahia kushuka daraja kwa Mtibwa sukari.
Kama.sio.mchawi,basi wewe una vimelea vyake.
Ni aibu kwa moenda Soka kuiombea mabaya Mtibwa...Kwa miaka karibu 30 imekuwa ni Chuo Cha.Soka Tz! Hatjuhitajintimu.kama Singida....au Ihefu !
 
Kama.sio.mchawi,basi wewe una vimelea vyake.
Ni aibu kwa moenda Soka kuiombea mabaya Mtibwa...Kwa miaka karibu 30 imekuwa ni Chuo Cha.Soka Tz! Hatjuhitajintimu.kama Singida....au Ihefu !
Kwani hawawezi kuwa chuo cha soka huko ligi daraja la kwanza? Timu inacheza playoff miaka 3 bado unataka tu ibaki premier league.

Then kabla hujabishana na mimi jifunze kundika maana mwishoni huko umeboronga sio poa.
 
Back
Top Bottom