Watenge wanyama kulingana na Aina yao mfano ng'ombe ,mbuzi, kondoo , mbwa n.k hawa wote wanaweza pata ugonjwa wa kimeta yaani 'anthrax' usipo kuwa kuku hivyo watenge wanyama.
Maana ya neno kilimo
Kilimo ni shughuli muhimu ya uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara.
Huu ni mchango mkubwa kwa jamii ya Tanzania kwa sababu zaidi ya asilimia 75 ya ajira zote zinategemea kilimo na zaidi ya asilimia 50 ya Pato la taifa hutokana na sekta hii ( kwa mujibu wa tovuti kuu...
1.Historia ya ukuaji wa teknolojia
Teknolojia ni utumiaji wa maarifa ya sayansi kwa ajili ya kubuni, kuunda, kuboresha na kutumia zana, vifaa, mifumo, na michakato ya kufanyia kazi ili kuchangia maendeleo katika maisha ya binadamu au katika utendaji wa shughuli zozote za kibinadamu kwa uharaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.