Wakuu hawa sportbety sijawaelewa hapo wameniwekea lost kwenye game ya verona na lazio wakati nimeweka under 2.5 na mechi imeisha 1-1,Sijui ndo wameamua kunifanyia janja janja ili nisiweze ku cash out,maana mkeka umeondolewa kabisa kwenye open bet.
Sio lazima bei zifanane unaweza ukanunua nguo kkoo 20,000/= ila ukaenda sinza nguo hiyohiyo ukaambiwa bei yake 100,000/= bei ya kitu inaendana na location uliopo huwezi kwenda kufungua Library buza ama mbagala huko ukauza muvie kwa 1000/= ukategemea upate wateja.
Kaka habari za kazi,kiongozi naomba kujua list ya hivo vitu kaka nimejaribu kukufwata pm kama ulivosema ila imenigomea kabisa kutuma msg dm naomba msaada wako kiongozi nitashukuru sana namba yangu 0612268124 na mwenyez mungu akubariki sana.
Kiongoz naomba unipe uzoefu wako wa hii biashara ya nguo za watoto nahitaji sana kuifanya.
Kiongozi naomba unipe uzoefu wako wa hii biashara ya nguo za watoto nahitaji sana kuifanyaa.
Chainsaw aina ya Newtop inauzwa
Imetumika miezi mitatu,ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote,nililinunua kwa ajili ya kuandaa shamba sasa nimemaliza sina uhitaji nayo tena ndo maana nimeamua kuiuza.
Mashine ni newtop 272 spea zinapatikana bila tatizo kwan zinaingiliana na Hus272...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.