INAUZWA Kwa anayetaka kufungua biashara ya kuuzia watu filamu au nyimbo (softcopy) karibu tufanye biashara

mkuu si kila kitu kuwaza negative

mie pia nawasiliana sana na mwamba kabla ya bandiko lake nilikuwa kwenye mipango ya kufungua bandiko limekuja kunihamasisha zaidi

kwa taarifa nimesha fanya biashara na jamaa na hazingui, hata hard disc aliyo itangaza niliichukua mimi

ko kama wataka fanya biashara na jamaa fanya hazingui
Kiongozi naomba ingia dm kuna suala nahitaji msaada wako.
 
*
Ngoja aendelee kuamini kuwa unatupanga! Mimi sio mchangiaji mada sana na sidhan nishawahi kucomment kweny huu uzi. Ila nilipoelewa nachotakiwa kufnya nilienda direct inbox na nikapata majbu na hvi ninavoandika tayari nishapata Mzigo wangu.

Siandiki kumshawishi mtu ila baada ya maswal kadhaa na ushaur kutoka kwa boss mwenyw! (Jina kapuni maake sina ruhusa ya kumtaja japo haitachukua muda kumfahamu pindi ukiamua kufnya nae kazi). Nilijrdhisha nikafuata utaratbu alionipa na nashukuru alifanya zaid ya nilivotegemea na vingne alifanya favor.

Simfahamu kwa sura wala ofis yake ilipo ila nilijirdhisha nikafanya nae kazi. Na kwa uaminifu mkubwa akanitumia mzgo wangu nikiwa mkoani. Umbali mrefu kwel na ili upokee mzgo ilichukua siku mbili ila sikuwa na waswasi.

Tuendelee kupambana vijana, nlichojifunza kutoka kwa huyu mwamba licha ya story mbili tatu tunazopiga. Hii biashara inaweza kukutoa sana kama utajua unachokifanya na ukaamua kuwekeza kwel sio ubahatishe au uige wanachofanya mtaan!. Inatakiwa kuwa tofaut na ufanye zaid ili uwape wateja sabbu za kuja kwako.

Na mwsho zaid UVUMILIVU ni mtaj mwingne hasa kwa sisi tunaoanza. Usitangulize kuingiza elfu 50 wkt hujaandaa hayo mazingira.
Asante
Kiongozi naomba ingia pm yako kuna maelekezo naomba unisaidie
 
muvi anauza buku wakati ni 250
Sio lazima bei zifanane unaweza ukanunua nguo kkoo 20,000/= ila ukaenda sinza nguo hiyohiyo ukaambiwa bei yake 100,000/= bei ya kitu inaendana na location uliopo huwezi kwenda kufungua Library buza ama mbagala huko ukauza muvie kwa 1000/= ukategemea upate wateja.
 
Mwenye mawasiliano na huyu mwamba anissaidie ili nifanye nae biaashara
 
Kama kuna anayehitaji kufungua movie store anataka movies na series tuwasiliane mimi nina terabytes 10 zipo old na latest
 
Wenzako walishapita hapo unaposema mkuu.

-Savasci ina vipande 106, inauzwa kwa elfu 2000.
-Vodacom walikuhalibia. Internet yao inaruhusu kudownload kila aina ya movie.
Labda ungesema bei ya kuelekeza watu namna ya kudownload,vinginevyo, hiyo 4M, unaigiza tu.
Mtaani kuna madogo ukitaka mzigo wote alionao, hata laki 2 atakupa. Wemgine hata chini ya hapo.
 
Wenzako walishapita hapo unaposema mkuu.

-Savasci ina vipande 106, inauzwa kwa elfu 2000.
-Vodacom walikuhalibia. Internet yao inaruhusu kudownload kila aina ya movie.
Labda ungesema bei ya kuelekeza watu namna ya kudownload,vinginevyo, hiyo 4M, unaigiza tu.
Mtaani kuna madogo ukitaka mzigo wote alionao, hata laki 2 atakupa. Wemgine hata chini ya hapo.
Mtaani complete season moja HD inauzwa 2k haijalishi ina episodes ngapi hiyo ina season ngapi mpaka mpaka season moja iwe na episode 106?
 
Asalaaaaam Ndugu zanguni, leo nimeamua kuja kuwatangazia vijana wote wanaotaka kufungua Biashara ya Movie Store yani kwa movie za kiswahili na Movie za Kizungu Karibu sana nipo Nauza Mzigo kwa bei ya Jumla kwa wafanyabiashara wanao anza au wanaotaka kuongeza stock za Ofisi zao.

mimi ni mfanyabiashara wa kuingiza movie na nyimbo kwa wateja nina stock yakutosha kabisa kwakijana yeyote ataehitaji mzigo ambayo akienda kukaa ofisini kwake Hatokosa 30,000 kwa siku huyu ni mgeni kabisa.

Hamna movie inayojulikana midomoni mwa watu Sina, japo sina Movie zote duniani au Series zote duniani lakini ni mtu ambae mteja akija na List ya 10 movies Zitapatkana 8 ztakosekana 2, Akija na list ya 5 series Zitapatikana 4 itakosekana 1, nadhani mtakua mmepata picha ya movie nilizokua nazo.

Bei elekezi ni kama zifuatazo

Kwa Mtu anaetaka kuja kuchukua Mzigo wangu wote yani tunacopy and Paste Kila kitu changu

Bei ni 4M yani milioni 4

Mahitaji yako : Unatakiwa uje na Hard Disk 60TB (Sixty Telabytes) hapo utaweza kubeba kila nilichokua nacho hutoniacha hata na trailer 1 yani utakua umebakisha kunichukua Mimi TU.

kwahiyo huko ulipo tafuta HARD DISK zako kisha njoo Nione,hiyo bei ni ya SOFT MOVIES haijumuishi gharama za Hard Disk, HDD tafuta unapojua wewe za bei utayoafikiana huko na wauzaji.

Huyo ni muuzaji Mkubwa wa Movie,Kwa wale wauzaji wanao anza anza (kama nilivyoanzaga mimi)

Kujaza 4TB Naijaza kwa 300,000 kwahiyo kila 4tb kujaza ni 300,000 hapo kazi itakua ni kwako kwenda kufanya kazi,Movie ni nyingi sana,kila movie ya kingereza ipo na kiswahili yake.

kadhalika na kwa series kila series ya kizungu ipo na ya kiswahili yake, Korean Drama,Animation na kila takataka inayohusiana na BURUDANI basi utaipata kwangu.

Karibuni vijana wenzangu mjikwamue, sio lazima wote twende shamba kulima kwa wale wenye mitaji na wana uelewa wa computer Biashara hii ni nzuri na isiyo na chembe ya mashaka.

Makadirio ya Faida kwa Mtu kama mimi sio chini ya 100k per day na kwa week ends sio chini ya 200k,Kwa mtu anaeanza kwa kujikongoja kongoja kwa siku hatokosa 10k kutegemeana na stock atayokua nayo.

Lakini kwa mtu anaejua location nzuri na ambae anauwezo wa kulenga eneo zuri Hata ukiwa na 4TB kupata 30k ni jambo la kawaida uzuri wateja wa movie sio wachaguaji, Mtu akitaka movie lets say OLD GUARD na stock yako hauna hiyo movie, Una uwezo wa kumwambia na kumuonyesha list ya movie zenye story kama ya OLD GUARD ukamsimulia na akaichukua, kwahiyo mteja wa movie akiingia ofisini kwako kuacha hela labda wewe mwenyewe ushindwe kumshawishi.

Natumaini vijana mnaopenda maendeleo na pesa basi nipo hapa kwa ajili yenu,Lakini pia yawezekana wewe unafanya hii kazi ila huna movie nyingi unataka kuongeza, Karibu sana nipo wazi ofisini anzia saa 5 asubuhi mpk 6 usiku.

Kwa wale wa movie za kina DJ MURPHY,DJ MACK (mzee wa Achecheeeeee) zote zipo miendelezo ya kila Jumatatu huwa nauza File lenye miendelezo yote ya wiki nzima kwa sh. 10,000 Njooo na 10k yako nikupe file lenye miendelezo yote ya wiki husika.

Movie zangu ni HD sinunui movie za kwenye Ma cd kisha nika copy kwenye mashine yangu,Movie zangu za dj murphy nazifata direct ofisini kwa Murphy ananiwekea kwenye external yangu, Movie za achecheee nazifata kwa Mack ananiwekea soft copy.

Sipendi nunua movie za kwenye Ma cd kwasababu mostly zinakua zimeconvertiwa zimepoteza ubora wa Picha, Season zote hadi za kihindi za kina VASCO DJ, MSATI, KONDE BOY, na wengine wote picha zao nilizonazo ni zile HD tunaita 720p to 1080p

Kwa series za kizungu na movie za kizungu Resolution ya movie zangu 80% ni 1080p kwa wateja wenye Flat 65inch 4k movie zao pia ninazo kwahyo ni uchaguzi tu,Mteja wa reja reja ukitaka movie resolution yyte kulingana na TV yako unapata.

Watu wengi nawasikia wakilalamika kuwa movie za kutafsiriwa zina quality mbovu, hii si kwa movie zangu Week end hii hapa inakuja Delivery Pia nafanya.

BEI YA REJA REJA

Single movie 1000 (iwe ya kiswahili,iwe ya kizungu)
Series English 2000
Series swahili (1000 vipande 25) complete isiyozidi episode 60 sh 2000
Korean Drama 2000 (drama isiyozidi episode 20)
Korean Drama zinazozidi episode 20 hata ikiwa episode 23 bei ni 3000,
Korean Drama zinazozidi episode 50 bei ni 5000 (mostly hizi ni zile historical)
Korean Drama za kutafsiriwa Bei ni 2000 (isipozidi episode 60)
Korean Drama za kutafsiriwa zilizozidi episode 60 (bei ni 30 episode 1k)

Karibuni sana Ofisi ipo Kwa Msuguli, kama ukitokea ubungo unashuka kituo KWA MSUGULI kama ukitokea stand ya Magufuli unashuka kituo Kwa msuguli.

Kwa biashara zaidi na mahitaji na maulizo binafsi karibuni PM.

Delivery wateja wa DAR naleta movie hadi mlangoni ila tu movie uchukue sio ya chini ya 30,000, hata kama hauna external/Flash utanitumia list mimi nitaweka list yako kwenye external yangu kisha nitakuja ku copy kwako.

Asanteni sana Movie ni Biashara Movie ni Burudani Changamkieni Fursa wapenda Burudani lakini wapenda Biashara Nipo kwa ajili yenu Pia.
Asalam aleykum kiongozi..nataka kujifunza biashara ya kuweka movies nimeona unafundisha namna ya kufanya hii biashara..sasa sijajua utaratibu ukoje kiongozi..
 
Ni series gani au Movie gani unaipenda sana kwa sasa? Hebu niambieni watazamaji Movie nahitaji kujua vitu mnavyopenda ili kama sina nivitafute.
aas
Wateja wa DAR

Flash 32GB = 17,000 (Ukinunua utajaziwa Movie au Series mpaka Flash ijae kwa bei hiyo hiyo)

External 320GB = 70,000 (Ukinunua utawekewa movie na series GB 100 free)

Flash FREE delivery "kuanzia Flash mbili"
External FREE delivery

Pesa utalipia kitu kikishakufikia ulipo,tunapeana kama ni kutest utatest kujiridhisha yaliomo yamoo au ni danganya toto.

Flash 16GB = 14,000

Kwa mahitaji ya STORAGE device zote tuwasiliane kwa bei ya JUMLA na REJAREJA.
Asalam aleykum kaka..samahan ofisi yako iko kwa msuguri upande upi nataka nije kujifunza kazi ya movie
 
Back
Top Bottom