Blance93
Member
- Feb 24, 2022
- 17
- 12
Kiongozi naomba ingia dm kuna suala nahitaji msaada wako.mkuu si kila kitu kuwaza negative
mie pia nawasiliana sana na mwamba kabla ya bandiko lake nilikuwa kwenye mipango ya kufungua bandiko limekuja kunihamasisha zaidi
kwa taarifa nimesha fanya biashara na jamaa na hazingui, hata hard disc aliyo itangaza niliichukua mimi
ko kama wataka fanya biashara na jamaa fanya hazingui