Namtafuta sister angu mmoja anaitwa eveta tulikuwa tunakaa wote manzese beston alimaliza Baptist secondary mwaka 2006 mara ya mwisho alisema anaenda Arusha
Namtafuta mrembo mmoja anaitwa lidya wolfgun tulikuwa tunasali wote manzese parish miaka ya 2004&5 alimaliza shule ya msingi ukombozi manzese alikuwa anakaa tip top gorofa la mbao nilikuwa namzimikia xana bila ya yeye kujua popote ulipo naomba unidm tafadhali
We jamaa m1 kubwa xana Kama utapata mawazo mazuri na sio mtu wa kuchagua biashara fanya biashara ya matunda kwa mjini Kama dar tafuta stand zilizochangamka
Wadau wazima? Natumai kuwa wote wazima wa afya maana Mungu mkuu wa yote amewanusuru na majanga ya siku nzima,me nilikuwa na kero kidogo maeneo ya Mbagala stand ya saku ya zamani kwa nyuma Kuna stand ya bajaji yaani mvua ikinyesha kuna tope linalofanana na kinyesi kabisa tena tope lenyewe...
Wadau mungu awe nanyi naombeni ushauri nifanye biashara gani ya kupiga pesa ya chap chap kipindi hiki cha likizo kwa mtaji wa laki 7 maeneo nilipo ni mbagala dsm
Mungu awabariki sana[emoji120][emoji120][emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.