Tumwambie au tumuache ajionee mwenye kwamba likizo hii pesa chap chap.Wadau mungu awe nanyi naombeni ushauri nifanye biashara gani ya kupiga pesa ya chap chap kipindi hiki cha likizo kwa mtaji wa laki 7 maeneo nilipo ni mbagala dsm
Mungu awabariki sana
Mwezi mmoja chiefLikizo ya muda gani?
Asante kwa ushauri kiongozUza yale mauwa ya Xmass yanayowaka taa
Maisha magumu naanzaje kula bataHiyo hela kula maisha mkuu ,mtu upo Likizo bado unataka kuteseka Tena daaaa..
Ya kazini kiongozKwanza hakuna biashara halali ya kupiga pesa chap chap (ondoa hilo wazo akilini mwako)
Uko likizo ya shule
Chuo
Kazi au nini?
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app