Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,704
- 68,729
MmmhNimemuachia chumba kina kila kitu
MmmhNimemuachia chumba kina kila kitu
Mbona unagunaMmmh
Okay uwajali sasaMbona unaguna
Ila watu wengine jamani.Usinichoshe,tusichoshane...
Salam hazina maana...
Yani sasa hivi kila mwanamke nikimtaka,awe mke wa mtu,awe mwanafunzi wa chuo,awe mwanafunzi wa secondary,awe single mama,awe yupo yupo tu wote hao hawakatai,mpaka najiuliza kumetokea nini???
Je maisha yamewapiga sana??
Au mtaani wanaume wamekuwa hawana sumu??
Au hamu zimewazidi ??mbususa zimejaa mpka nazifanyia sensa..au ndo dalili za kupata hiv
one time,ONE FOR THE ROAD..
🤫Ila watu wengine jamani.
Yani nmekaa hapa nasoma haka kajiuz kananukia kukataliwa kataliwa.
Mhhhhhh
Mahitaji kama kawa,ila mwanamke hapo lazima ajue alizinguaOkay uwajali sasa
Mpaka tusikilize pande zote mbiliMahitaji kama kawa,ila mwanamke hapo lazima ajue alizingua
😄😄😄😄😄unamtaka ex wanguMpaka tusikilize pande zote mbili
Kuna mwamba huku alisema ukitaka kumtongoza mwanamke mara ya kwanza mtumie mfano AMINA ALI lazima akupende tuNipe technique mwamba maana me nachezeaga vibuti tu
He who sleeps with an itchy anus, wakes up with smelly fingers. - unknownLeo umekuwa hujaoa ?tenaa
Nina malaika wa ulinzi ngoma siwezi kupataHe who sleeps with an itchy anus, wakes up with smelly fingers. - unknown
Huyu Mleta uzi atakipata anachokitafuta,,,,Kanuni ipo straight,,,,inasubiri kutimia tu.
Nina malaika wa ulinzi joooPole saana ndugu yangu tulikupenda saana lakini tamaa yako imekupa ukimwi pumbavu zako
Sio ndugu,kwani wewe hujajaribu??ebu tongoza uone kama utakataliwaHili nalo unajisifia.
KaribuNitakuja tena..
Nyeto nisaachakwahyo tukusaidieje kijana mpiga nyeto
Inabidi tuwachape fimbo tuSiku hizi maisha yamebadilika, yaani kumuomba mtu mbususu au kuombwa jihogo la jang'ombe ni sawsawa na kuomba maji ya kunywa tu......iko hivyo kwahiyo hata usimalize pumzi kujisifia kwn iko hivyo karibu kwa kila mtu ili muradi tu hauna hitilafu fulani za kimwili (kumbuka hizi ni zama za kujiselfie na muonekano). Mtu ataona aibu kuonyesha kidole chake kilichopinda lkn si mbususu......kawaida saaana ndugu!
Juzi hapa mdada anakataa kumpa namba rafiki yangu (ilitakiwa kwa ajili ya kazi tu) kwa kumwambia, 'siwezi kukupa namba yangu, baada ya kazi unaweza kushawishika kunitongoza na mimi sitoweza kukukataa.....sasa mimi mkeo ninaheshimiana nae haitokuwa vizuri kushare!'. Huyo anayeongea hivyo ni mke wa mtu na mada ilikuwa tofauti kabisa hata hatukuelewa hoja hii imetoka wapi. Ni mdada wa haja tu, huwezi kuamini. Hiyo ndo hali halisi kiongozi...