Ndugu wasomi wa Tanganyika moja kwa moja kwa muda.
Mimi nina degree ya elimu kifupi ni mwalimu, nataka kusoma icho kitu hapo juu.
....Vipi wenye mamlaka wanaweza kunibadilisha kutoka kwenye teacher hadi u transport officer endapo nikafanikiwa Kumaliza hiyo programme?
Habari za mapokezi ya bajeti mpya wana JMT,
Moja kwa moja kwenye swali kama lilivyojieleza hapo juu. Jamani nataka kuanzisha NGO's sasa natamani sana nipewe elimu kwanza ya namna ya kuanzisha na nipewe ABC's nyanja gani sasa hivi iko hot, I mean changamoto gani naweza nikajikita nazo katika...
Ndugu wanajamhuri ya Jf nini litoto langu pale nyumbani. Nililisomesha mipango dodoma akasoma coarse ya urban planing .. sasa najiuliza ataajiliwa kama nani maaana hata sielewi naomben msaada maana naona ajira zinatoka anasema zao bado naona ananichanganya tu mwaka wa 4 huu.. maaana kashaanza...
Wana Jamhuri ya Muungano wa Jf habarini za kazi.. napenda kuwasalimu kwa salama ya kitanzania shkamoonii.. ..ndugu zangu naomba kuuliza swali.. hivi serikali ya JMT ina jumla ya wafanya kazi wangapi ? Yan waajiriwa wa serikalini yan wote vyombo vya Ulinzi na usalama nk....
Asante
Wenu katika...
Wana JF kwema!
Je, inawezekana mtumishi wa halmashauri kuhamia kwenye mashirika ya Uma yan SU..mf..vyuo vikuu au necta..tcu.. au serikali kuu.. na kama inawezekana naombeni muongozo yan procedure ili niwe aweare.
Iko hivi.. kuna kiwanja nimenunua muuzaji kanionesha ramani ambayo imechorwa na surveyor wake ..madai yake kasema alienda ofisi za ardhi kujua eneo analotaka Kuuza ni kwaajil ya makazi au limetengwa kwaajili ya shughuli za serikal na akapata majibu kua eneo ni kwaajil ya makazi.. alichokifanya...
Iko hivi.. kuna kiwanja nimenunua muuzaji kanionesha ramani ambayo imechorwa na surveyor wake ..madai yake kasema alienda ofisi za ardhi kujua eneo analotaka Kuuza ni kwaajil ya makazi au limetengwa kwaajili ya shughuli za serikal na akapata majibu kua eneo ni kwaajil ya makazi.. alichokifanya...
Kwema wakuu..
Naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu nilisoma BACHELOR OF EDUCATION (BED. Geography) natamani kusoma masters sasa sijui nisomee masters ya kitu gani naombeni ushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.