Kwenye haya mambo ya magari kuna watu wanapigwa sana yaani wanauziwa gari mbovu iliyopigwa rangi. Kama utanunua kwa mtu zingatia hayaKama mada inavyojieleza hapo juu.. ninakaribia 40yrs nmetembea kwa miguu about 30s sasa nisije nikatembea 40yrs kama wana wa Israel.
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Hao hawakufikia uwezo wa kumiliki usafiri.Kwenye haya mambo ya magari kuna watu wanapigwa sana yaani wanauziwa gari mbovu iliyopigwa rangi. Kama utanunua kwa mtu zingatia haya
1. Tafuta fundi gari ukajaribu naye hilo gari.
2. Hilo gari lina document zote zinazotakiwa? Usikubali kuuziana uchochoroni.
Mfano hai.
Jirani yetu alinunua Corona, ukiona nje kana rangi nzuri unaweza fikiri mpya. Ndani ya miaka 2 akaweka juu ya mawe mpk leo tangu 2004. Mwingine alinunua gari, ndani ya mwaka 1 akaweka juu ya mawe mpk leo.
Gari body. Engine na gearbox zimejaa ilala kuanzia 1m na kuendelea.Kwa uzoefu wangu
Jitahidi kutafuta gari yenye body nzuri (nzima) achana na mambo ta injini. Inunje kwa walau 4 au 5 million
Then nunua injini mpya ( japo used Japan), funga. Utanishukuru baadaue
Kama huna mambo mengi tafuta Brevis/GX110 au 100 kwa bajeti hio utapata nzuri sana.Kama mada inavyojieleza hapo juu, ninakaribia 40yrs nmetembea kwa miguu about 30s sasa nisije nikatembea 40yrs kama wana wa Israel.
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Hizo 5M utamchukulia kikoba chako mama? 😂Ongeza ununue gari mpya ist nzuri sana hizi model zake ,maana hao walionazo waongo tu juzi mtu kanunua gari akajiona mjanja sasahivi yupo gereji anaanza upya kuweka spare na engine imeanza kufa. Ml 12 gari nzuri tu mupya
Acha ukorofi basiHizo 5M utamchukulia kikoba chako mama? 😂
12m gari gani from jp?Mi nakushauri kama umedunduliza mpaka 7 fanya mpango tu ifike 12 uchukue toka jp
11Ml-12Ml unapata IST mpya kabisa hapa hapa Tz, huko Japan bei ni chini ya hapo 😁12m gari gani from jp?
Atatafuta mwenyewe12m gari gani from jp?
Showroom gani IST 12m?11Ml-12Ml unapata IST mpya kabisa hapa hapa Tz, huko Japan bei ni chini ya hapo 😁
Amesema ana 7m mwambie gari gani atapata from jp kwa 12m msaidie.Atatafuta mwenyewe
Kwamba mkuu hutaki kuamini au??Showroom gani IST 12m?