Mashabiki wa yanga pigeni kelele na vigeregere
Kombe la msimu huu ni lenu
Msimu huu kuna maajabu ambayo Mashabiki wa mpira barani africa watashangaa
Kifupi tu timu ambazo wengi walizoea kuona zikicheza final ya club bingwa hakuna hata moja itafika final ya club bingwa
Kama uliona post hii mwaka jana ili lisikushangaze nilishasema toka zamani ni swala la muda tu
Yanga wataweka Rekodi mwaka huu ya kuingia Nusu Fainali ya Klabu Bingwa
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/47633181/
Hakuna kitu kinachekesha kwasasa Kama kuona jinsi wa afrika wanavyo muabudu Putin na urusi yake Kama Mungu
Wengine wameenda mbali kwasasa wanamuita Putin baba mtakatifu [emoji23][emoji28][emoji2][emoji1787] waafrika kwa visa [emoji30] hatujambo
Wakisikia kelele za Putin tu wanafikiri nilidude...
Mungu atupe tu uzima ndugu yangu
Sina maneno mengi na Kama nilivyo sema hapo juu kuwa kuna baadhi ya watu Wataona naongea kiushabiki ni Sawa ni maoni Yao
Lakini Mimi na kuapia hakika haya maneno yangu yatatimia na ikitokea siku hiyo Mungu katupa uzima tutakutana Tena hapa
Mimi sidhani kama mamelodi itawatoa yanga ni suala la Muda tu
Shikeni maneno yangu haya mamelodi akiwatoa yanga mniite mbwa nimekaa hapa.
Na sio kwamba naongea kishabiki maana kuna wengine wanakuwa na tabia ya kusema Mashabiki wa yanga hawana akili Sawa sijui nini.
Ila ukweli Mamelodi...
Kuna watu Fulani kwasababu ya kutumia akili za matakoni wanasemaga kuwa eti kumkataa mkewe kisa tu kakusaliti ni ushamba hata sisi wanaume tunachepuka kuliko wanawake
My bro’s nataka niwaambie siku zote mwanaume katika kuchepuka kwake anatumia akili
Mwanamke anatumia hisia
Mwanaume ata...
Marko 4:25
25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa, na asiye na kitu atanyang’anywa hata kile kidogo alicho nacho.”[emoji28][emoji23][emoji16][emoji1787]
Hakuna timu ambayo ina uwezo wa kuleta kombe la Africa Tanzania zaidi ya Yanga
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/Hakuna-timu-ambayo-ina-uwezo-wa-kuleta-kombe-la-Africa-Tanzania-zaidi-ya-Yanga.2036654/
Mwaka 2022 nilipost post nyingi
Kuhusu yanga
Nilisema yanga nilidude likubwa...
Nilibahatika kuona mechi zote mbili za RC belouizdad na Al ahly ni Mechi za michongo
Mechi za mikakati
Sio kwamba belouizdad wana timu nzuri kivile
Even ile mechi yao na yanga ni mistake ya yanga tu ambayo walitumia kwenda kushambuliwa wachezaji wengi na kuacha wachezaji wengi wa chache nyuma...
Baada ya kuona umeandika kuwa urusi ina wakristo 7% nimecheka [emoji23][emoji2][emoji1787][emoji3][emoji23]
Kabla sijakujibu chochote Vipi Unajua ukristo wa orthodox au
Kuna watu wanakuwa na tabia ya kuhukumu wanaume kisa tu wameona wanawake wao wanalia akili zao zinawatuma moja kwa moja kuwa wanateseka saana kwenye ndoa zao saana
Ila ndugu zangu wanawake ni waongo saana.
Don’t take your time kumpa haki mwanamke kisa tu analia
[emoji23][emoji2][emoji1][emoji3]...
Nahitaji mtu mwenye akili na msomi ambaye nataka awe mshauri mkubwa wangu kwa mambo mbali mbali ya maisha yangu
Kama uko tayari ni text dm
Tuongee mambo mengine Niko serious bro’s
Kuna vijana wanatumia madawa hao na wengine wana vitu vikubwa kinoma
Akilala na mwanamke mpaka mwanamke Ana rizika na kufurahia tendo
Kwa bahati mbaya ukija kuoa mwanamke Kama uyo alafu uwezo wako uwe chini zaidi ya Yule ex wake kwenye tendo la ndoa hakika utateseka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.