kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Hakuna timu ambayo ina uwezo wa kuleta kombe la Africa Tanzania zaidi ya Yanga
Mwaka 2022 nilipost post nyingi
Kuhusu yanga
Nilisema yanga nilidude likubwa ambalo bado halijajitambua
Nikasema yanga akijitambuwa basi kuna baadhi ya timu kubwa kubwa barani Africa watakuwa wanapigwa nje ndani au kupigwa vipigo vya mbwa mwizi
Baadhi ya watu wakanitukana kwenye coment
Mwaka 2023 yanga akaanza kuota mizizi sasa na tayari ameota ni swala la muda Yanga wanaweza kufika final Kama mchezo mchezo
Hakuna timu ambayo ina uwezo wa kuleta kombe la Africa Tanzania zaidi ya Yanga
Huu ni ukweli Tanzania Hakuna timu ambayo inaweza kuleta kombe lolote la africa zaidi ya yanga Yanga ndo timu kubwa Tanzania. Kama real madrid alivyo timu kubwa Spain Na wengine wengi Apa na ongelea ukubwa wa makombe ya ndani Kwa hiyo basi Tanzania wanasubiri yanga wajue kucheza michezo ya...
www.jamiiforums.com
Mwaka 2022 nilipost post nyingi
Kuhusu yanga
Nilisema yanga nilidude likubwa ambalo bado halijajitambua
Nikasema yanga akijitambuwa basi kuna baadhi ya timu kubwa kubwa barani Africa watakuwa wanapigwa nje ndani au kupigwa vipigo vya mbwa mwizi
Baadhi ya watu wakanitukana kwenye coment
Mwaka 2023 yanga akaanza kuota mizizi sasa na tayari ameota ni swala la muda Yanga wanaweza kufika final Kama mchezo mchezo