kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Nilibahatika kuona mechi zote mbili za RC belouizdad na Al ahly ni Mechi za michongo
Mechi za mikakati
Sio kwamba belouizdad wana timu nzuri kivile
Even ile mechi yao na yanga ni mistake ya yanga tu ambayo walitumia kwenda kushambuliwa wachezaji wengi na kuacha wachezaji wengi wa chache nyuma wakawa wanatumia fursa izo kufanya conter attack pia yanga walishindwa kutumia nafasi zao nyingi ambazo walipata ila Hawa waarabu ni wabovu saana ukiwashambulia vizuri tu huwezi kukosa bao tatu mpaka 5 Kama una wachezaji ambao wanajua kutumia nafasi vizuri
Pia sioni wakiwafunga mediama kule kwao labda kwa figisu zao
Mechi za mikakati
Sio kwamba belouizdad wana timu nzuri kivile
Even ile mechi yao na yanga ni mistake ya yanga tu ambayo walitumia kwenda kushambuliwa wachezaji wengi na kuacha wachezaji wengi wa chache nyuma wakawa wanatumia fursa izo kufanya conter attack pia yanga walishindwa kutumia nafasi zao nyingi ambazo walipata ila Hawa waarabu ni wabovu saana ukiwashambulia vizuri tu huwezi kukosa bao tatu mpaka 5 Kama una wachezaji ambao wanajua kutumia nafasi vizuri
Pia sioni wakiwafunga mediama kule kwao labda kwa figisu zao