Mimi ni mwanamichezo mwenye lengo la kuendelea katika sekta nzima ya kimichezo
natakata kufanya maamuzi sahihi hapo tarehe 30 mwezi huu kwa kuichagua KATIBA HII INAYOPENDEKEZWA
lakini nina uelewa mdogo wa masuala ya kikatiba hasa katika masuala yanayolenga makundi ya VIJANA na SANAA hasa katika...
njoo gold crest jumapili kuanzia SAA 9 kuna semina ya kibiashara unaweza pata elimu itakayokusaidia. nicheki kwa hiz namba kwa maelezo zaidi 0759797874
network marketing ni biashara ya 21st century hakuna prymid scheme wala nn. msome jamaa anaitwa Robert kiyosaki. hakuna deci hapo ni biashara kama biashara nyingne ila katika system mpya
Huwa ninapata maumivu makal sana wakat wa tendo la ndoa pale ninapotoa shahawa au hata ninapopata ndoto pevu(wet dreams) pia ninapata maumivu makal sana chini ya kitovu na wakat mwngne 2mbo hujaa na kunifanya nijambe sana! Pia nakojoa mara kwa mara napia napata maumivu wakat wa kukojoa! Naomba...
Katika kuangalia hasa jamii forum sijaona kipengele cha afya! Lakini kutokana na tatizo langu nikaona ni vyema kupost tatizo langu hapa ili npate msaada hata kwa muktasar tu.
Tatizo langu ni kwamba nimekuwa na maumivu makal chini ya kitovu ambayo wakat mwngne huniletea maumivu wakat wa...
Inasikitisha sana pale napopita kila kona ya mtaa na kukuta vijana hutumia lugha ya matus kuwasiliana! Kwa jamii ya leo maneno kama mse**e na ku** ma** na kawaida sana sasa je nayenyewe yataingizwa na kutumiwa kama kiswahili fasaha?? Huwa inauma sana kijana unapomtukana mama yako bila sababu na...
Bodi ya mikopo,napenda kuwapongeza kwa kaz nzur ya kuwasaidia wanafunz wa elimu ya juu kwa kuwapa mikopo ambayo kwa namna 1 ama nyingne inawasaidia wanafunz kugharamia baadh ya gharama mbalimbali. Lakin kiukwel n kwamba lengo lenu la kuwasaidia wanafunz lipo zaid kimatabaka kwan hasa tunaostahl...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.