Katika kuangalia hasa jamii forum sijaona kipengele cha afya! Lakini kutokana na tatizo langu nikaona ni vyema kupost tatizo langu hapa ili npate msaada hata kwa muktasar tu.
Tatizo langu ni kwamba nimekuwa na maumivu makal chini ya kitovu ambayo wakat mwngne huniletea maumivu wakat wa kukojoa na huwa nakojoa mara kwa mara. Si hvyo tu bali tumbo hujaa na kunifanya nijambe sana na wakat wa tendo la ndoa huwa napata maumivu makal pale ninapo toa shahawa! Nimeenda hosptal lakin cha kushangaza hawajaniona na tatizo! Madaktar wa jamii forum naomben msaada zaid. Asanten.
Tatizo langu ni kwamba nimekuwa na maumivu makal chini ya kitovu ambayo wakat mwngne huniletea maumivu wakat wa kukojoa na huwa nakojoa mara kwa mara. Si hvyo tu bali tumbo hujaa na kunifanya nijambe sana na wakat wa tendo la ndoa huwa napata maumivu makal pale ninapo toa shahawa! Nimeenda hosptal lakin cha kushangaza hawajaniona na tatizo! Madaktar wa jamii forum naomben msaada zaid. Asanten.