Habari wana JF mimi ni binti wa miaka 24 natafuta kazi ya aina yoyote ile nitafanya iwe tu halali.
Elimu yangu nimemaliza chuo mwaka jana kozi ya ualimu kwa masomo ya kiingereza yaani literature na linguistic UDSM.
Lakini nitafanya kazi yoyote itakayopatikana naombeni msaada wenu tusaidiane...
Jamani naombeni msaada wenu mm ni binti wa miaka 24 nipo Dar es salaam nimemaliza chuo mwaka jana UDSM kozi ya ualimu kwa masomo ya kiingereza yaani linguistics and literature dhumuni la kuja kwenu natafuta kazi wapendwa ya aina yoyote iwe tu halali na sio haramu nitafanya pia iwe mkoa wa Dar es...
Wewe mwenyewe umekosea hesabu zako na hatutaki hayo mambo ya atakua wewe nani utabiri? Angalia msimamo wa ligi hayo mengine hatutaki kuyajua sahivi muda wake ukifika tutajua
Habari zenu wapendwa mimi ni binti wa miaka 23 naombeni ushauri wa kimawazo nipo Dar es salaam nina mtaji wa million 1 na laki 2.
Lakini kila nikifikiria biashara gani nifanye nashindwa nifanye nini nisaidieni jamani kwa mtaji huo naweza fanya biashara gani?[emoji120]
====
Unashauriwa kusoma...
Nina mtaji wangu wa laki 5 hiyo ni nje ya kodi ya Pango naomba msaada kwa wale wenyeji wa Kariakoo maduka ya jumla ya urembo kwa bei nafuu yako maeneo yapi? Pia nisaidieni machimbo ya perfume na lotion [emoji120]
Jamani tusaidiane katika hili nisijekupigwa huko Kariakoo naombeni msaada kwa wale watu wa mikoani mnaochukua nguo Kariakoo nielekezeni machimbo ya nguo za kike wanapouza kwa bei rahisi nisaidieni.
Kila nikienda naishia tu kwenye nguo za bei jamani nielekezeni tafadhari pia maduka ya urembo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.