Jamani naombeni msaada wenu mm ni binti wa miaka 24 nipo Dar es salaam nimemaliza chuo mwaka jana UDSM kozi ya ualimu kwa masomo ya kiingereza yaani linguistics and literature dhumuni la kuja kwenu natafuta kazi wapendwa ya aina yoyote iwe tu halali na sio haramu nitafanya pia iwe mkoa wa Dar es salaam tusaidiane connection jamani