Kwa hiyo furaha yako ilikuwa kwamba mabank yasitengeneze faida kabisa ili uridhike kwamba hakuna pesa chafu. Kwa hiyo indicator ya kutokuwa na fedha chafu ni mabank kutokuwa na faida? Hizi akili hizi. Rudisha panga alani mwako ndugu
Kipindi Cha jpm investments nyingi zilifungasha vilago kwa sabau ya Kodi nyingi na purchasing power kupunguza kwa sababu mzunguko wa pesa ulipotea. Nilienda kule bagamoyo viwanda vyote vya wahindi vya chumi vilifunga biashara kwa Sasa ndo vimerudi hiki kipindi. Biashara kibao zilifunga mfano...
Nani kakwambia uchumi wa Tanzania umedorola. Au mfukoni kwako ndo pamedorola. Nenda Arusha na kwingineko uone jinsi utalii ulivyoshamili na watu wanachapa kazi. Nenda kwenye mabank uone jinsi watu wanavyofanya transactions za mamilions. Nenda mashambani uone jinsi wakulima wanavyofurahia awamu...
Jamani nimejitahidi Sana kuzungukia mikoa Kama mtwara, tabora, singida. Nimekuta watu wanamsifu Sana mama kwa masoko ya uhakika kwa mazao hayo tofauti na mwendazake ambaye aliolua masoko kabisa.
Wanasema mama for presidency forever
Jpm aliua wafuatao:
Maalim seif
Ben saanane
Azory gwanda
Ben mkapa n.k
Alitaka kumuua hata jk Ila kangi lugola akalikisha issue nzima ndo Mana akatumbuliwa fasta.
Yule Jana alikuwa ni zaidi ya shetani kifo chake mi nilimaliza creti ya bia kwa furaha Mana shetani ameondoka duniani na Sasa...
Acha kutuaminsha uongo. Wakulima wanaenjoy Sasa hivi. Jpm aliharibu mazao yote mbaazi, korosho, tumbaku. Kwa Sasa siko ni la uhakika. Sisi wakulima mama anatufaa Sana. Pili wafanyabiasha huwaambii kitu kwa mama mana hakuna anyevamua accounts zao Tena na biashara ni nzuri Sana. Nyie wafanya kazi...
Ahadi za uongo chini ya jpm zilikuwa nyingi Sana.
Alitwambia ameajiri walimu kumbe hakuna
Alitwambia hakopi kumbe ndo mkopaji namba moja nk.
Jamaa aliendesha nchi kwa uongo uongo.
Nawashangaa Sana hii mifanyakazi ilivyo mibinafsi. Sisi wengine hawatufikirii kabisa inajifikilia yenyewe.
Mama achana nao kwanza walipata prevelege ya kuajiriwa tu na siyo lazima tuko wengi tusio na ajira na tuko tayari hata kujitolea. Toa hiyo mifanyakazi inayotaka milion. Sisi hata laki...
Acheni kazi kwani mmelazimishwa? Sisi tusio na kazi mnatuona mabwege siyo!! Mama usiwapandishie ili na wao wajue hawajasoma peke yao. Wakitaka watoke sisi tuko radhi kwa mshahara hata wa laki tu
Unamkumbuka wewe. Sisi Samia anatufaa Sana. Siyo watanzania wote kwamba Ni wafanyakazi. Sisi wakulima tunamkubali Sana Mana jpm aliua masoko ya kila zao Sasa tunauza nje na ndani. Usitulazimishe sisi. Pambana na Hali yako au acha kazi njoo tulime
Kwa hiyo kufanya biashara ni uhuni. We unafurahi a umaskini aliouhubiri jpm kwa miaka mitano kwamba yeye anaongoza maskini na anawafurahia Sana na kutaka nchi nzima wote tuwa machinga!!! Kazi ipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.