wanabodi salaam.
Naomba msaada kwa anayejua jinsi ya kurekebisha taarifa kwenye form ya maombi ya kazi za sensa,,, mistake imefanyika kwenye email account hivyo pasword and username sijapata..
Naomba kwa anayejua anisaidie plz
Sorry kama utaboreka lakini nisaidiwe jamani
Habari wakuu,
Mimi ni mkulima wa vitunguu ninayeishi tunduma mjini ninavitunguu majj vya kutosha kwahiyo kama kuna dalali au mfanyabiashara wa vitunguu aje tufanye biashara.
Natanguliza shukrani.
Salaaam
Naomba kuuliza hivi ukisoma kozi ya rural au community development unaweza kuajiriwa kama nan labda
BT kama nikikosa ajira najua cha kufanya so naomba tu huo msaada.
Ova
Wakuu habari zenu,
Naomba kuuliza kuwa je kunauwezekano wa mtu kubadilisha kozi akiwa chuoni hasa baada ya kuchaguliwa kozi ambayo hakuipa priority..je kitu hicho kinawezekana!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.