Search results

  1. jijiletublog

    Ni Magufuli wa kazi ndani ya Serikali na Chama, panga pangua yake haitabiriki

    Na Humphrey Shao, Msakuzi, Dar es Salaam Ikiwa imepita mwezi mmoja tangu Watanzania waweze kumpa ridhaa ya kuongoza tena kwa miaka mitano tena hapa nchini huku mambo yakiwa ni tofauti kwa Rais Donald Trump wa Marekani ambaye wananchi awajampa ridhaa ya kuwa kiongozi kwa awamu ya pili. Rais...
  2. jijiletublog

    Uchaguzi 2020 Maandamano ya tarehe 2 Nov: Je, Ni Demokrasia au waliokosa wanapigania Maslahi Binafsi?

    Tarehe 31 Oktoba tumeshuhudia kuitishwa kikao cha waliokosa nafasi mbalimbali za ubunge na urais ili kutangaza kufanya maandamano siku ya tarehe 2/11/2020. Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995, vyama vya upinzani havijawahi kukubaliana na matokeo katika kila sehemu...
  3. jijiletublog

    Mchawi wa upinzani Tanzania ni upinzani wenyewe

    Na Mwandishi Wetu Mchawi wa upinzani Tanzania ni upinzani wenyewe. Viongozi wa upinzani hawawezi kukwepa kuwajibika kwa matokeo haya na kutafuta visingizio ikiwemo uchaguzi kuhujumiwa. Isitoshe, Katiba na Sheria zetu za Uchaguzi zinatoa fursa kwa wagombea wa vyama vilivyoshindwa kufungua kesi...
  4. jijiletublog

    Uchaguzi 2020 Wamachinga, Bodaboda nchi nzima watoa tamko kumuunga mkono Magufuli

    IKIWA imebaki siku moja Uchaguzi Mkuu ufanyike, Jumuiya ya wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na madereva pikipiki ‘bodaboda’ nchini, wametoa msimamo wao kuwa watampigia kura mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. Wamesema hatua hiyo inatokana na mgombea huyo kubeba agenda...
  5. jijiletublog

    Tofauti ya Magufuli na Lissu kanda ya Kaskazini

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya mgombea urais Wa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mgombea wa Chadema, Tundu Lissu. Magufuli kiuhalisia ni mcha Mungu na amekuwa akionekana kanisani kila Jumapili pale Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es Salaam na wakati mwingine popote...
  6. jijiletublog

    Uchaguzi 2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

    Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye ameeleza kusikitishwa kwake kwa Mbowe kumtelekeza Mgombea wake mara baada ya kuona Rais Dr John Pombe Magufuli anashinda kwa kishindo. Sumaye amesema hayo leo katika Mkutano wa kampeni wa Rais Magufuli mjini Babati Mkoani Manyara leo.
  7. jijiletublog

    Hivi Lissu ana dini kweli?

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewashangaza Watanzania kuhoji uwezo wa Mungu katika uponyaji wa janga la corona nchini. Kauli hiyo ya Lissu pia imeenda mbali zaidi alipowashangaa Waislamu na Wakristo kwenda kanisani...
  8. jijiletublog

    Haya hapa Mabilioni ya fedha yaliyomwagwa katika miradi mbalimbali Mkoani Mtwara

    AIRPORT YA MTWARA SAT, chini ya uongozi wa raisi JPM imehakikisha upanuzi wa kiwanja cha ndege Mtwara unafanyika kutoka mita 30 mpaka mita 45, Pamoja na kuurefusha kutoka km 2258 mpka km 2800. Hii inahusiana na kujenga taxway ambayo ni maungio ya runway Pamoja na apron (maegesho), runway strips...
  9. jijiletublog

    Magufuli amefanya haya Katavi ndani ya Miaka Mitano

    STAND YA MABASI SAT, chini ya uongozi wa raisi JPM imefanikiwa kujenga stand ya mabasi mkoani Katavi wilaya ya Mpanda na kuipatia jina la stand ya mabasi ya Mizengo Pinda kwa heshima ya waziri mkuu mstaafu mheshimiwa Mizengo Pinda. Ujenzi wa stand hii ulianza tarehe 22/5/2015 na kumalizika...
  10. jijiletublog

    Uchaguzi 2020 CHADEMA isiwahadae Watanzania si Maamuma wa Sheria

    Anaandika Mhenga wa Wahenga, Kaskazini Kuna baadhi ya nyaya katika bongo za wenzetu CHADEMA zimelegea na tusipowaangalia vizuri nyaya hizo zitalipuka. Chadema wameamua kuwafanya Watanzania ni maamuma wa sheria kiasi cha kufikia hatua ya kuwadanganya hata katika mambo ambayo yapo kwa mujibu wa...
  11. jijiletublog

    Maendeleo haya ni ya miaka mitano tu

    KUHUSU ELIMU SAT, imepanua wigo kwa kutoa elimu bila malipo kwa shule za msingi na sekondari ambapo mpaka sasa imetumika Sh trilioni 1.01. Kutoka shule za msingi 16,899 hapo awali hadi 17,804 na shule za sekondari 4,708 hadi 5,330. Kumefanyika ukarabati wa shule kongwe za sekondari 77 kati ya...
  12. jijiletublog

    Uchaguzi 2020 Mbeya ya Magufuli na Maendeleo yake hii hapa

    Miradi iliyotekelezwa na inayotekelezwa kwa mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2019/2020 katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya ni pamoja na ujenzi wa stendi ya Mbalizi kiasi cha shilingi milioni 150 zilizopelekwa na serikali ya awamu ya tano, SAT. mradi wa ujenzi wa zahanati katika shule ya...
  13. jijiletublog

    Uchaguzi 2020 Hii ndio Tanga ya Rais Magufuli (2015 - 2020)

    UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA TOKA UGANDA MPAKA TANZANIA Rais Yoweri Museveni na Raisi JPM wamezindua ujenzi wa bomba la mafuta la Afrika Mashariki kutoka wilaya ya Hoima, nchini Uganda hadi bandari ya Tanga, nchiniTanzania. Bomba la mafuta lenye joto, ambao ni refu zaidi duniani, litagharimu dola...
Back
Top Bottom