Sasa bro wewe na ako kamwili kako ukikutana na mtu kama uyo ambae ameshaua na kujerui hana chakupoteza wala chakuhofia si ndio itakua mwisho wako
Huyo muuaji alikuwa ni mviziaji sio kwamba anazunguka mtaani na kisu na hata watu aliokuwa anawajeruhi ni wanawake na watoto,
alafu raia walishaanza...
Wakuu imekaaje hii ya makarani wa sensa kuchukuliwa clip ya maigizo wakati wa kuhesabu.
Yaani karani anaenda kwa mtu maarufu then akimaliza kazi yake wanaanza kuchukua video ya kuchekesha, huo sio upotevu wa muda kweli?
Wachambuzi wanahoji kuhusu jezi mpya za Simba kuchelewa kutoka mpaka Simba day ikikaribia na jezi bado hazijatoka.
Wakati Yanga wanaanza msimu na kucheza mechi ya ligi msimu mpya na jezi ya zamani mbona mlikuwa kimya?
Tanzania bana nchi yakijinga ina watu wajinga haina ata wachezaji zaidi ya 10 wanaocheza nje ya tanzania
Ghana ina wachezaji zaidi ya 700 wanacheza nje ya kwao
Wewe malayapori hiyi nafasi ya pili ulutaka akae baba aki au mama ako? Angalia gape na points na goal differance
Tumekosa ubingwa lakini tumefika robo fainali confederation cup
Tumebeba ubingwa miaka minne na tumeweza kufika robo fainali mara mbili, nyie mmechukua ubingwa na mmeishia peliminary...
Team zikifuzu world cup zinashangila na hazina ata uwezo wakuvuka group stage kwanini sisi tusishangilie kucheza na mafinalist nakupata matokeo
Mnauliza tupo wapi bado tupo kimataifa , na nyie mpo fanyeni icho mnachoona ni uboya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.