Habari za jioni JF?
Nilipotea kwa zaidi ya miezi 6 kwasababu ya zilizopo nje ya uwezo wangu lakini sababu kubwa ni kukosa uwezo wa kulog in kwenye account yangu.
Naamini mtanipokea tena katika majukwaa yote, kwa bahati mbaya lile jukwaa letu pendwa wameliondoa[emoji35].
Tujumuike kusogeza...
Millard Ayo anaweza kuwa mtanzania wa pili baada ya Mwl Nyerere kwenda Marekani kwenye course ya International Visitor Leadership Program mwaka 1960.
Course hii inatolewa kwa International leaders kwenda Marekani kujifunza kuhusu uchumi, siasa, jamii na tamaduni za Marekani.
Course hii...
Limekua jambo la kushangaza kidogo Jiwe kwenda Mbeya miaka minne baada ya uchaguzi.
Ziara hii inaleta maswali mengi kuliko majibu
Je huu ni mwanzo wa kampeni za uchaguzi unaokuja?
Je, zile zomea za kampeni zilimfedhehesha na kuamua kuwatupa?
Vipi kuhusu mikoa mingine ya kanda za juu kusini...
Habari kutoka ndani ya Ccm ni wanataka kumpitisha John D Pallangyo kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki.
John D Pallangyo aligombea mwaka 2015 lakini alishindwa kufurukuta mbele ya kijana mdogo Joshua Nassari ambae kauza ubunge wake kwa pesa za Ccm.
Nafasi ya John D Pallangyo kushinda ni kubwa...
The U.S. Embassy is pleased to announce President Trump’s decision to continue Tanzania’s African Growth and Opportunity Act (AGOA) duty free import benefits as a result of steps Tanzania has taken toward eliminating prohibitive tariff rates on imports of used clothing and footwear and...
Naomba kukumbushwa kama Rais JPM amewai kukemea mauaji ya Kibiti au kufungua mdomo kuongelea mauaji ya Kibiti.
Naomba kukumbushwa kama Rais Magufuli alihudhuria mazishi au kuaga miili ya wale ASKARI waliouliwa KIKATILI kule Kibiti.
Kama hakufanya yote kati ya hayo hapo juu, iweje leo anapata...
FAMILIA ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, imesema kuwa watoto wake wanapitia wakati mgumu kwa kuwa tukio la kupigwa risasi kwa baba yao liliwaumiza kisaikolojia.
Aidha, watoto hao kwa sasa wanalazimika kuishi mbali na wazazi baada ya wazazi wote wawili kuwa nje ya nchi tangu...
Serikali ilitangaza kwamba mnamo tarehe 15 oktoba kutakuwa na mnada wa tanzanite katika mji mdogo wa Mererani, Simanjiro Mkoani Manyara MERERANI, MANYARA: Wizara ya Madini kufanya mnada wa Tanzanite Oktoba 15, 2017
Leo serikali kupitia wizara ya Madini imetoa taarifa ya kuhairisha manada huo...
Yawezekana mauaji ya Kibiti yalikuwa na lengo la kutengeneza predetermined narrative ya matukio yajayo?
Hii ni baada ya watu fulani kutumia tukio la Kibiti kukataa uchunguzi huru wa shambulio dhidi ya Tundu Lissu.
Dar: Ofisi ya Wakili wa Manji, Hudson Ndusyepo yavamiwa na watu wasiojulikana watoweka na kabati la kutunzia nyaraka na fedha. Watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wamevamia na kufanya uharibifu katika Ofisi za Wanasheria wa Prime Attorneys
KIASI cha shilingi milioni tatu na laki saba...
RC mkoa wa Dar es Salaam na wahariri wa vyombo vya habari wanazungumza muda huu.
Tukio limetokea na amekiri kuwa ni kweli limetokea lakini dhana wakati linatokea haikuwa kama ilivyochukuliwa.
Kwa sababu hataki kurudi na kuchimbua makaburi alichoomba yaliyopita yamepita tugange yaliyopo na...
--------------
iparamasa said;
IPTL, ile kampuni inayoinyonya usiku na mchana Tanesco na ikakwapua pesa za Escrow, imeomba muda zaidi iendelee kuiuzia umeme Tanesco!
Kampuni hii inaomba leseni wakati nchi ikihangaika na mikataba ya hovyo ya makinikia, na serikali hii itapimwa kama kweli ina...
Katibu Mkuu wa CCM, ndugu Abraham Kinana atajumuika kwenye ibada ya kitaifa ya kuwaaga wanafunzi waliopata ajali.
Ataonekana kwa mara ya kwanza tokea Mh. Rais kusema amemtuma kwenye matibabu nchini India na kusababisha sitofahamu kwa wananchi.
Mbunge wa Moshi Mjini Jaffar Michael na Meya wa Moshi wazuiwa kuingia Ikulu ndogo kuonana na Rais Magufuli kwa madai hawakuwa na mwaliko-
=======
Andika ndugu Japhary Michael Mbunge wa Mbunge Moshi Mjini
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwaarifu kwamba siku ya Jumapili tarehe 30/04/2017, Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.