Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,826
Katibu Mkuu wa CCM, ndugu Abraham Kinana atajumuika kwenye ibada ya kitaifa ya kuwaaga wanafunzi waliopata ajali.
Ataonekana kwa mara ya kwanza tokea Mh. Rais kusema amemtuma kwenye matibabu nchini India na kusababisha sitofahamu kwa wananchi.
Ataonekana kwa mara ya kwanza tokea Mh. Rais kusema amemtuma kwenye matibabu nchini India na kusababisha sitofahamu kwa wananchi.