Habari wakuu,
Leo nimeona nijaribu ku share baadhi ya tabia za mama ntilie ambazo wakiwa wenyewe huzifanya ila akiwepo mteja hawafanyi,
Wakati wa asubuhi akiwa anakaanga vitavuno, (Maandazi, vitumbua, half cake na chapati) wakati anaviweka kwenye zile meza zao za Aluminium tayari kwa ajili...
Story ya Jaymoe na Langa iko hivi kwenye wimbo ya Jipange wa Jaymoe , Kuna mstari jay moe anasema
" Amani kwa kaka voda milionea/ Wastue wadogo zako waache poda wale mmea/
Hapa alikua akijaribu kumkumbusha Kaka voda awastue kina langa kua Unga sio mzuri
Langa Ni kama alipanic akaja kujibu...
Habari wakuu,
Ni ukweli usiopingika kipindi ukiwa mtoto, kuna mambo mengi ya utotoni ulitamani kuyafanya lakini wazazi/walezi walikukataza, kutokana na saababu mbalimbali kitu kilichopeleka kuhisi kukosa uhuru
Maisha yanabadilika unakuja kuwa mtu mzima ukiwa na uhuru wa kufanya kila kitu...
Habari wakuu,
Tangu walipotangaza mabadiliko ya nauli za daladala imekua ni kero kwenye kila daladala. Mtu ukipanda wakati wa kutoa nauli lazima konda akuulize una sh 100 hapo?
Au wakuu nyie mna magari binafsi hili swala hamna taarifa nalo?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Anyway Happy new...
Habari wakuu,
Miaka ya hivi karibuni kumezuka makampuni mengi yanayouza viwanja, lakini katika hayo makampuni sio yote yanafuata taratibu katika upimaji wa viwanja,hali inayopelekea migogoro mingi wakati wa ku process hati miliki
Kuna umuhimu sana kununua kiwanja kilichopimwa na survey plan...
Wakuu kwema?
Nipo nafatilia hili tamasha la wasafi festival live hii show ya Songea. Jamaa wamejitahidi sana kwenye promotion lakini ukija kwenye ubora wa matangazo ya live ni very poor.
Hii inawapunguzia sana credit
Wakuu kwema?
Ebhana leo nimeona niongelee hii issue, Kuna Kundi jipya limezinduliwa siku za hivi karibuni (TNC)
TNC inaundwa na member wa tatu kutoka TMK wanaume family ambayo baadaye ilikuja kuvunjika na kuzaliwa makundi mawili yani TMK halisi na TMK family
Wazo la kuanzisha TNC naamini...
Wakuu habari zenu,
Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel.
Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue google pixel 5a kutokana na specs zake
Ila kuna jamaa yangu Kariakoo anaziuza hizi simu ila kanipa...
Habari,
Eid mubarak kwa watu wote
Imekua ni kawaida kwa watu wanaopitia changamoto mbalimbali kuona kuwa ni sehemu ya maisha hali ambayo imepelekea asilimia kubwa watu kuzipuuza changamoto wanazokutana nazo bila ya kuzitafutia suluhisho la kudumu,
Kikawaida ili mtu apige hatua moja kwenda...
Habari,
Imekua ni kawaida kwa watu wanaopitia changamoto mbalimbali kuona kuwa ni sehemu ya maisha hali ambayo imepelekea asilimia kubwa watu kuzipuuza changamoto wanazokutana nazo bila ya kuzitafutia suluhisho la kudumu,
Kikawaida ili mtu apige hatua moja kwenda nyingine ni lazima akutane...
Habari wakuu,
Leo nimestaajabu sana tukio lilimtokea moja ya watu wangu wa karibu wanaojishughulisha na biashara za mtandaoni. Ilikua hivi;
Alipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kama mteja na alihitaji bidhaa fulani akataka afanyiwe delivery. Basi baada ya kuelewana bei. huyu jamaa yangu...
Mafanikio yanabebwa na kila jitihada zozote za kuongeza thamani (branding) ya kitu au mtu. Ukiwa kama kijana mwenye ndoto za kuyafikia mafanikio unapaswa kuhakikisha una ongeza thamani kwa kila utakachokifanya.
Tukianza na vitu vya kawaida kabisa, mfumo wa maisha ya kila siku uvaaji, ulaji...
Habari wana JF,
Kwa kuanza tuu niweke wazi, Mimi ni naamini uwepo wa Mungu. Kumekua na nadharia mbali mbali ambazo zinapingana kuhusu huu ulimwengu tunao ishi , Lakini ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Asili, spirit & science vyote huzumgumza lugha moja kwa namna ya tofauti
Nikisema lugha...
Habari wana JF,
Kwa kuanza tuu niweke wazi, Mimi ni naamini uwepo wa Mungu
Kumekua na nadharia mbali mbali ambazo zinapingana kuhusu huu ulimwengu tunao ishi , Lakini ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Asili, spirit & science vyote huzumgumza lugha moja kwa namna ya tofauti
Nikisema lugha...
Happy Easter to everyone,
Nimeguswa ku share haya machache kuhusu hili kundi kubwa la watu (Wasomi) ambalo ndo linaongoza kulalamika huku mitandaoni kuwa maisha magumu na wengine wakienda mbali zaidi kuwa serikali yetu haiwajali.
Nimefuatilia kwa ukaribu wasomi wengi, kitu kinachowakwamisha ni...
Kalapina,
Huyu jamaa mbali na kuwa na harakati nyingi akiwa pamoja na kundi lake la Kikosi cha mizinga .ukweli ni kwamba hana kipaji cha music. Alipata umaarufu coz ametoka kipindi wasanii ni wachache
Sugu
Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita...
Habari wakuu,
Nawatakia maandalizi mema ya sikukuu ya pasaka , na kwa ndugu zangu islamic niwatakie mfungo mwema
Iko hivi hawa viumbe kiasili ni wabinafsi na kwakua hawapendi kuteseka basi kimbilio lao kubwa ni kuangukia kwenye mahusiano ili kupunguza mzigo , asilimia kubwa ya wanawake mpaka...
Mafanikio yanabebwa na kila jitihada zozote za kuongeza thamani (branding) ya kitu au mtu.
Ukiwa kama kijana mwenye ndoto za kuyafikia mafanikio unapaswa kuhakikisha una ongeza thamani kwa kila utakachokifanya
Tukianza na vitu vya kawaida kabisa , mfumo wa maisha ya kila siku uvaaji, ulaji...
Kila linaloendelea kwenye maisha ya mwanadamu hutegemea watu na mazingira yaliyomzunguka, siku zote pendelea kukaa katika mazingira yatakayokupa positive energy kiakili kimwili na kiroho
Epuka sana kuwa karibu na negativity , watu wengi wanaanguka kila siku kutokana na companies,mazingira na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.