Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,287
- 7,388
Habari wana JF,
Kwa kuanza tuu niweke wazi, Mimi ni naamini uwepo wa Mungu. Kumekua na nadharia mbali mbali ambazo zinapingana kuhusu huu ulimwengu tunao ishi , Lakini ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Asili, spirit & science vyote huzumgumza lugha moja kwa namna ya tofauti
Nikisema lugha hapa naamanisha kuwa hivi vyote vina amini katika kitu kimoja ila kila ulimwengu hapa huzungumza kwa lugha yake , ndo maana hizi nadharia za kupingana hazitakaa ziishe kwakua kila ulimwengu huzungumzia kitu kwa lugha yake.
Kwa maana nyingine ni kuwa hakuna universal language katika kuchambua huu ulimwengu wetu
Asili•
Karma is a bitch:
Karma specifically is the principle of buddhism & hinduism that concern idea of "You get what you give"
Huu msemo ni maarufu sana barani asia , na una maana ile ile kwamba ukitenda mema utalipwa mema , ukitenda mabaya utalipwa mabaya
What goes around comes around:
Means " If someone treats other people badly he/she will eventually treated badly by someone else"
Huu ni msemo wa Wazungu na ukiangalia maana ni ile ile
Malipo ni hapa hapa duniani:
Waswahili pia tuna msemo wetu huu ambao ni maarufu sana na una maana hiyo hiyo moja
Ulimwengu wa kiroho•
Ukiua kwa upanga na wewe utakufa kwa upanga:
Mathayo: 26 (52-53)
Yesu akawaambia rudisha upanga wako alani, maana yeyote anayeutumia upanga atakufa kwa upanga"
Ulimwengu wa science•
Newton third law of Motion & reaction
"For every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction"
This means that " If object A exerts force to object B, Object B also exerts an equal & opposite force to object A"
Kwa maana hiyo Spirit, nature & science vyote vinaongea lugha moja ila kwa namna ya tofauti
Kwa kuanza tuu niweke wazi, Mimi ni naamini uwepo wa Mungu. Kumekua na nadharia mbali mbali ambazo zinapingana kuhusu huu ulimwengu tunao ishi , Lakini ukichunguza kwa makini utagundua kuwa Asili, spirit & science vyote huzumgumza lugha moja kwa namna ya tofauti
Nikisema lugha hapa naamanisha kuwa hivi vyote vina amini katika kitu kimoja ila kila ulimwengu hapa huzungumza kwa lugha yake , ndo maana hizi nadharia za kupingana hazitakaa ziishe kwakua kila ulimwengu huzungumzia kitu kwa lugha yake.
Kwa maana nyingine ni kuwa hakuna universal language katika kuchambua huu ulimwengu wetu
Asili•
Karma is a bitch:
Karma specifically is the principle of buddhism & hinduism that concern idea of "You get what you give"
Huu msemo ni maarufu sana barani asia , na una maana ile ile kwamba ukitenda mema utalipwa mema , ukitenda mabaya utalipwa mabaya
What goes around comes around:
Means " If someone treats other people badly he/she will eventually treated badly by someone else"
Huu ni msemo wa Wazungu na ukiangalia maana ni ile ile
Malipo ni hapa hapa duniani:
Waswahili pia tuna msemo wetu huu ambao ni maarufu sana na una maana hiyo hiyo moja
Ulimwengu wa kiroho•
Ukiua kwa upanga na wewe utakufa kwa upanga:
Mathayo: 26 (52-53)
Yesu akawaambia rudisha upanga wako alani, maana yeyote anayeutumia upanga atakufa kwa upanga"
Ulimwengu wa science•
Newton third law of Motion & reaction
"For every action (force) in nature there is an equal and opposite reaction"
This means that " If object A exerts force to object B, Object B also exerts an equal & opposite force to object A"
Kwa maana hiyo Spirit, nature & science vyote vinaongea lugha moja ila kwa namna ya tofauti