Wakazi wa eneo la Katoro Geita hatuna amani kabisa baada ya tukio la jana saa 3 asbuhi tuliposhuhudia mwili wa binadamu mwanaume ukiwa umechunwa ngozi na kutelekezwa katka uwanja mmoja ambao unaandaliwa kwa ajili ya kujengwa stendi mpya,kwa kweli inatisha hasa kwa walioshuhudia tukio hilo la...
Wana JF,ktk mishemishe za hapa na pale mara jamaa m1 kapita na eskudo yake akanirushia matope bhana,jamaa kasimamisha gari na kushuka ili kuniomba msamaha,mm kwa hasira nikaanza kumkoromea,jamaa akaanza kujitetea "ooh...sasa jamaa yangu kuwa mpole naomba unisamehe"mm nikazid 2 kumkoromea...
Jamani haya sijuwi ni malezi gani......mama m1 ambaye hajaolewa anaishi na katoto kake ka kike umri wa miaka 6,cku 1 akaleta limsela ndani,usku kukurukakara zikaanza,kumbe jamaa alikuwa na d.ick kubwa iliyosababisha maza kulia kwa maumivu,akavumilia tu mpaka njemba ikamaliza shughuli...
Mbwa na Paka walikuwa wanapiga stori
Mbwa>kwa nn nyie huwa mnajificha mkiwa mna "do"na dem wako?
Paka>aagh...!huwa kila tuki'do' hawa binadamu wanatuiga style zetu,ndo maana tunajifichaga.
Mbwa>mh.!mbona mm nafanya hadharan na hawaigi style zangu?
Paka>ww jidanganye,hujui kama walishaiga ile ya...
Ukifika UHOLANZI utawakuta akina...
Van parse
Van Der vart
Van nestroy
Van Mangi...
BRAZIL(dinyo)
mangidinyo
ronaldino
(da)
-da silva
de fereira
Pereira
JAMAICA
Huku kuna akina "Sean"
TANZANIA nako.!?
Jamaa m1 alikuwa anatembea na mke wa jirani,siku 1 mke wa jirani akamuita jamaa mida ya ucku ili wafanye matusi kwa sababu mumewe hakuwepo,wakati wanaendelea ku duu,jirani akarudi akawa anagonga mlango,yule mwanamke akafungua mlango wa nyuma akamwambia jamaa aondoke,
jamaa alikukuruka na...
Aisee ni baada ya kuvunjiwa duka na kuibiwa kila kitu,japo nyumbani kulikuwa na salio kdogo....
MKE>sasa baba masawee haya maisha tutaishi mpaka lini...mimi nimechoka bwana.
ZeMANGI>vumilia tu mke wangu japo kwa hii wiki....sawa baby.!?
MKE>Khaaaa...mme wangu,yaani wk nzima tutaishi...
Siku ya mwisho nitakapokabidhiwa kitabu cha hukumu huko Mbinguni,
MUNGU:Mangi shika kitabu hiki,wasome wale watakatifu wapite mkono wa kulia...na wale watenda maovu mkono wa kushoto kwenye ziwa la moto.
MANGI:Sawa bosi,
Wana JF wote walioshiriki kuwaponda wachaga....KUSHOTO....,
wana CCM...
Nimekuja aisee ila kibiashara zaidi,
nauza; mbege,mikate,matrekta,vifaa vya baiskel,maandazi,supu,wali,pilau,vifaa vya pikipiki,sukari,mchele,nyama ya kitimoto,sabuni,maharage,sambusa,karanga,vifaa vya ujenzi,kondomu,
pia ninaziba pancha za baiskeli,magari pikipiki,ninaosha magari na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.