Search results

  1. N

    Msaada Juu ya kipimo Cha HB level test

    Unajuaje kaka bila kupima
  2. N

    Wakazi wa kigamboni naomba assistance nahitajiMaster rooom(single self) maeneo ya kibada, ungindonii au mji mwema

    Habarii great thinkers, Naomba assistance Kwa wakazi wa maeneo tajwa hapo juu. Natafuta room ya kupanga iwe na choo ndani(single self) mazingira yawe na usalama Nahitaji kuhamia harak sana. Yoyote mwenyej taarifa kindly assist me Natanguliza shukrani 🙏
  3. N

    DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

    Mtoa mada kinachokusumbua ni wivu, umaskini na njaa, hata kama umepishana kauli na mtu aina haja ya kuanika taarifa zake binafsi mitandaoni, na inaonekana you know him very well yaani ulichokifanya hapa ni whistleblowing. investigation itaanza kufanyik as soon as TAKUKURU wakipata hii taarifa...
  4. N

    Bila waraka wa serikali wananchi wataendelea kupata shida TRA

    Kaka umenena vyema sana watu wasioweza kudadavua mambo Kwa mapana awawezi elewa hili, TRA awatungi Sheria Bali wanasimamia Sheria zilizowekwa na bunge katika ukusanyaji wa mapato Kwa Io wanachokifanya ni kile ambacho Sheria imeelekeza lakin jumba bovu wanaangushiwa wao. Wananchi wanahitaji...
  5. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ukwel ni kwamba Taasisi nying kubwa kubwa kama TRA,EWURA,BOT,TANAPA,TCRA mishahara yao haitegemei hazina daah kwa huu mfumo hizo taasisi zikipewa ruhusa kuajiri zenyew nepotism itarud itakuw ngm sana kupata asali maeneo hayo bila connection
  6. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yan kwa utumishi kama haufaulu saili zao we unahesabika ni kilaza tu hata kama umesoma Harvard alaf chuo akimfanyi mtu awe competent, being competent it's just the matter of your own intelligence.
  7. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nadhan hili swali ungewauliza PSRS ingependeza zaidi mkuu
  8. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wat tumesoma uko uko na sa hv ni employees wa TRA we wa udsm Bado unasaga rumba hahah
  9. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Takwimu zinaonyesha wenye GPA kubwa Huwa wanakula sana ndoige hawapatagi mchongo mapema na wanakula sana ndoige kwenye sahili
  10. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Guys tusipotoshane japo utumishi kuna urasimu mwingi lkn mchakato wao sa sahili upo 90% fair. Taasisi zikianza kuajiri zenyew hizo ajira tutazisikia kweny bomba
  11. N

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Ukweli ni Kwamba kupata kaz UT,PT,TPDF, PCCB kwa zama hiz kama huna connection aka mbanga ni ndoto Kam za alinacha, ni Bora uwekeze nguvu Utumishi kule amna upendeleo wat wanapat kaz bila mbanga ni uwez wako tu
  12. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Zaid asilimia 70 ya TMO tunaoenda training chuo cha kodi intake hii 2023 ni watu wa accounts & finance chukua io
  13. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sure halazimiki kuandaa statements. Lakin hao presumptive tax payers schedule imewa categorize kwenye makundi mawili wanao keep records na wasio keep records
  14. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Presumptive tax system ina apply kwa wote those who maintain accurate financial records and those who do not kikubwa tu ukiwa na turnover ya 100m and above lazima u keep records na uandae audited financial statements
  15. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kak mbona presumptive tax system ni kit easy sana sabab assessment of tax is based on average turnover received by the trader during the year of income so ni swala la kumhoji mteja na kujua ana wastani wa mauzo ya kias gani kwa siku minimum na maximum ili upate average ya total turnover kwa...
  16. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Unachanganya madesa kiongozi kuna international accounting standards(IAS) na international standards of Auditing(ISA)
  17. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ukweli ni kwamba mtu wa accounts akija kwenye field ya kodi anakuwa nondo sana especially kwenye tax examination na auditing anakuwa ashikiki hii ni kwa sababu anakuwa na uelewa mpana juu ya financial statements preparation and interpretation,gaps zote mianya yote anakuwa nayo familiar
  18. N

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Zile mention 5 points mule ndan ukiwa na panel usichukulie powa kama ujajipanga unaishia kutia huruma , Huwa ni balaa
Back
Top Bottom