Utangulizi:
Miji inakua kwa kasi katika nchi nyingi, na Tanzania haijaachwa nyuma. Huku miji ikikua, madhara ya mazingira yanazidi kuongezeka, na hii inahitaji mabadiliko ya haraka. Katika andiko hili, tutachunguza madhara ya mazingira yanayotokana na kukua kwa miji, jinsi upandaji miti...
Hili ni jiko la umeme na la kisasa ,ambalo ni fanisi, linatumia umeme kidogo SANA, linapika haraka mara mbili zaidi ya gesi na ni salama kutumia, ni JIKO JANJA kwa sababu ni la kutachi kama smartphone pia unaweza kuchagua mapishi mbalimbali, kuweka muda wakujizima, kuchemsha maziwa bila...
Nilifika nchini Tanzania kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 30 iliyopita kufanya kazi ya kujitolea kama daktari na uzoefu huo ulinifanya nijenge heshima na mapenzi ya kina na ya kudumu kwa Tanzania na Watanzania. Ilikuwa ni heshima kubwa sana katika maisha yangu, baada ya miaka mingi, kupewa...
Hery ya Mwaka mpya 2020.
Kutokana na uvivu wa kufanya mazoezi ya viungo, kupanda kwa gharama za Maisha (hata jamiiforums hawapati matangazo 😢😢😢).
Nataka niaze kutumia Usafiri wa BAISIKELI naomba mwenye kujua sehemu wanapo uza BAISIKELI nzuri weka bei na mawasiliano. hata kama ni USED.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.