Nimekusikia ukiwa Musoma,eti kwa sasa mapato yameongezeka na hakuna anayeporwa fedha, hizi ni siasa maji taka, na kwa taarifa yako kumgusa hayati MAGUFULI ni kujidhalaurisha kwa watanzania makini.
Serikalini uozo umerudi, wabadhirifu wanaipora serikali, wananchi wamekosa imani na rais Samia...
Naifuatilia ziara yenu toka ilipoanza, hamna jipya kwa wananchi zaidi ya kupambana na Makonda kwa mafumbo.
Tulitegemea muisimamie vyema serikali yenu, hasa Watumishi wazembe na wezi wa mali ya umma, matokeo yake mmekalia mipasho, eti watoto wa mujini, mnajidanya.
Achieni vijana nafasi...
Nilifuatilia kuagwa kwa mwili wa Hayati Edward Lowassa pale kalimjee hall sikuweza kumuona muheshimiwa Pinda na pale ndio ilikuwa sehemu sahihi ya viongozi mashuhuri na wastaafu kumuaga hayati Lowassa.
Je, kulikoni mzee wangu Pinda?
Anaejua alipo huyu mzee wetu atujuze
Nimekuwa nikifuatilia mienendo ya unafiki,uzandiki wa watanzania baadhi yetu,hasa wanasiasa wa pande zote mbili, kwa maana ya wanaccm na wapinzani
Wanaccm baadhi wanapoona kuna mtu ni tishio kwa hatma ya mustakabali wao kisiasa,akionyesha kupata ushawishi na wafuasi wengi hutumia mbinu...
Nimesikiliza kamati ikitoa mapendekezo kwa maaana ya maazimio ya bunge hawa mawaziri hawamsaidii Rais Samia, changamoto ni nyingi sana ndani ya wizara zao kuliko successions.
Wapigwe chini tupate watu wenye kasi zaidi na weledi, hawa kazi zao ni kusema mama anaupiga mwingi,iweje awe anaupiga...
Naona nguvu kubwa inatumika kukusugua kwa dodoki, nikuhakikshie Wizara ya fedha imekushinda totally, usilazimishe, wewe kama mtunza hazina umeshindwa kufanyia kazi priorities za nchi.
Imani yangu mamlaka hazitachelewa kutengua uteuzi wako.
Nimechokoza mada
Mzee huyu ambaye kwa sasa ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera wakati anatoa salamu zake pale kirumba pia aliongelea suala la uwekezaji wa bandari.
Lakini maelezo yake kwa ujumla wa kuitakia serikali ufanisi ana machungu sana ya kutemeshwa tenda ile,tena sana tu.
Alijibaraguza kupambapamba...
Serikali kupitia Waziri wa Michezo na Utamaduni, Pindi Chana, imetangaza kukarabati uwanja wa Mkapa Dar kwa Tsh. Billions 31. Hizi ni fedha nyingi sana kukarabati uwanja huo, sikubaliani na na gharama hizo.
Hapa kuna upigaji wa fedha kupitia kalamu. Wajanja wanazo zao tayari walizojipangia...
Kwa wale wenye uzoefu wa bima mitandaoni naomba msaada wa maelezo.
Kuna gari ilikuwa gereji kwa muda imepona inahitajika bima (thirdy party), mlipaji hana fedha taslimu ya kulipia bima,anataka kulipia kwa instalments.
Je, ni kiwango gani cha chini cha pesa angalau na aina ya insurance provider...
Huyu mstaafu aliitumikia nchi akavurunda sana tu, taifa likatamalaki upigaji mkubwa wa raslimali za taifa.
Karudi kwa mlango wa nyuma kujifanya Baba wa taifa kwa sasa, kila kukicha bimkubwa anaomba ushauri wa kupangiwa safu na nini cha kufanya, khatariii kwa taifa.
Safu ya wahalifu imerudi kwa...
Nchi au taifa kwa ujumla idara ya usalama wa taifa ni taasisi huru,kwa muijbu wa kuanzishwa kwake, duniani kokote.
Japo siku na muda ulivyozidi kujongea taasisi hiii ilianza kuingiliwa na waansiasa hivyo kupoteza maana halisi,na hii sio nchini tu bali duniani kote,yakiwemo mataifa makubwa,kama...
Kuna sintofahamu ya neema na hasara za uraia pacha,naomba tushirikishe mawazo,uelewa kwa anayejua faida tunazizikosa kama taifa kutokana na uraia pacha
Kadhalika hasara zitokanazo na uraia pacha
Note: michango yetu ijikite kwenye maeneo muhimu yafuatayo kuhusu uraia pa
1, uchumi
2,tamaduni...
Nipo eneo moja wanarasimisha makazi, barabara wanazoziandaa hapa mtaani,zipo za mita 8, mita 6, na mita 4
Swali (1) je, barabara ya mtaa yenye mita 6 upana, ikiwekewa na mitaro gari zinweza pishana?
Swali (2) je, barabara yenye upana wa mita 6 inaweza kuwekewa rami na serikali ?
Anaeijua historia ya Ikulu ya Magogoni atusimulie, naambiwa ulikuwa msikiti, mzungu akapapenda akageuza makazi yake kisha kuwa Ikulu.
Hili lina ukweli wowote?
Naomba kujuzwa.
Pia soma >> Simulizi Maalum za IKULU (Mwinyi, Kikwete, Mama Maria Nyerere...)
Hili halina ubishi, waziri Mkuu maagizo yake mengi aliyoyatoa yanapuuzwa au yanatekelezwa kwa kiwango duni sana, tofauti ya Kassim Majaliwa wa hayati Magufuli na wa Samia ni mbingu na ardhi.
Kuna ukimya sana wa Kassim Majaliwa, inaonekana anatembea na tone za aliyeko juu. Ni kama power ya prime...
Hawa wahariri kwa sasa wanalamba asali haswa chini ya waziri wa habari na utangazaji Nape Nnauye, hakuna Mtanzania mwenye akili timamu asiyefahamu jambo hili.
Watu hawa wameuza utu wao kwa vipande vya dinali zitokanazo na kodi, tozo mbalimbali za Watanzania maskini.
Kuna mambo ya kifisadi nchi...
Tarehe 17/03/2023 ni siku ambayo familia ya hayati Magufuli itakuwa inaadhimisha miaka miwili ya kifo cha mpendwa wao, na kama kawaida mara nyingi familia hiyo hufanya tukio hilo hapo Chato.
Tukio hilo hukutanisha familia ya hayati Magufuli na baadhi ya marafiki na jamaa walioamini katika...
Kuna gari Toyota vista nauziwa,mwenye gari ananiambia kwa majigambo ya kwamba engine ya hiyo gari ilisumbua akanunua engine mpya ya 3s.
Je, hii engine inafaa kwa kiasi gani nimlipe pesa ya gari?
Wakenya hawakubaliani na hali ngumu ya kupanda kwa bei ya bidhaa hasa unga
Watanzania ni hewala kwa kila jambo, hii ni aibu sana kwa taifa.
Iko haja ya kupima akili ya watanzania kama ni timamu.
Kila kukicha hakuna ukosoaji dhidi ya ughali wa maisha, ni mwendo wa mapambio kwa serikali...
Jirani yangu ana harusi hivi karibuni, kaambiwa ya kwamba kabla ya sherehe kuna haja ya kuzindika eneo la harusi dhidi ya wenye roho za fighi (wachawi),
Hana pesa ya kulipa mganga, je kuna material gani anaweza tumia rahisi kuwadhibiti dhidi ya ujinga wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.