Naomba Mheshimiwa Rais alione hili
========
Mfanyabiashara mkoani Mwanza amelalamika mzigo wake wa milioni 40 alioutoa nchini Kenya umechukuliwa na FCC huku wakichukua milioni tatu ili wamsikilize.
Mfanyabiashara huyo amesema alichukua mzigo nchini Kenya wa mifuko 2000 ya wall put na kufika...
Tunaomba mtujulishe kukosekana kwa umeme huku Kilakala Bong'ola Morogoro Jana 10/11/2022 na leo 11/11/2022 bila taarifa yoyote sababu ni nini?
Kama ni mgao tunaomba tujulishwe ratiba kupitia Mtendaji wa Mtaa ili tujipange hii ni shida sasa. TANESCO
MORUWASA wanatumia hela za miradi ya maji vibaya bila ya kufanya upembuzi yakinifu ili kuanzisha miradi ya maji yenye maji ya uhakika kwa mwaka mzima. Moruwasa hapa Morogoro wamekuwa wakiingilia na kutaka kuchukua vimiradi vya maji vya vikundi vya wananchi waliojichangisha hela na kuanzisha ili...
Where " Sex is free but Love is Expensive"
Where "Loosing a phone is more painful than loosing a virginity"
Where " If you don't cheat on ur partner u r not smart and sharp"
Where "Getting a Blackberry or I phone is greater than achieving a Degree"
Where "there is no difference between a...
Huwa najiuliza sana Kamati inatoaje hukumu kwa mtu bila hata kufanya nae mazungumzo na kumpa nafasi ya kujitetea mi naona ni kama udikiteta fulani unaoendelea na kuonyesha ubabe usiokua na maana yoyote. Wambura anaogopewa nini kiasi hicho na kama wanafikiri wanachama hawamtaki si wakubali...
Mila sio zote zenye nafasi, zipo baadhi hazifaikabisa kama kutoa kafara ya kuchinja mbuzi na kunyunyiza damu, kwa mfano umenunua gari mpya, umejenga nyumba unatakiwa ufanye, huu mi nauona ni ushirikina kwa nini msifanye sala tuu kwa jina la Yesu.
Nyingine kwa mfano kufukua kaburila marehemu na...
Ninawasiwasi na ujenzi kama huu wa gorofa ya matofali ya kuchoma na udongo endapo kutatokea tetemeko kidogo tu la ardhi, madhara yanaweza kuwa makubwa sana. Jamani inabidi tuangalie uimara kwanza badala ya kujenga gorofa kutafuta sifa wakati uimara hakuna. Bora ujenge hata vyumba viwili imara...
Jana mchana nineingiza salio kwenye simu yangu line ya Vodacom TZS 1,000/= baada ya saa moja nikatumiwa ujumbe wa simu kuwa nimeingizwa kwenye bahati nasibu ya TZS 11,000,000/= na wakakata TZS 550/= toka kwenye salio langu ili hali sijatuma ujumbe wowote wa kuhitaji kucheza bahati nasibu yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.