Ndetirima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 1,008
- 784
Ninawasiwasi na ujenzi kama huu wa gorofa ya matofali ya kuchoma na udongo endapo kutatokea tetemeko kidogo tu la ardhi, madhara yanaweza kuwa makubwa sana. Jamani inabidi tuangalie uimara kwanza badala ya kujenga gorofa kutafuta sifa wakati uimara hakuna. Bora ujenge hata vyumba viwili imara kuliko hivi. Ni maoni yangu tu sio kashfa.