Usitake kuharibu mada ,jiekeze huko hizi tuhuma zipo humu muda tuache siasa chafu ,tuungane na jpm kufichua maovu
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Jery Muro ameiambia ITV muda mfupi kuwa mashine za kutengeneza vitambulisho vya utaifa wilayani humo zote imeibiwa usiku wa kuamkia leo.
Taarifa hiyo imekuja muda mfupi baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kutoa ratiba ya kuandikisha na kusajili vitamburisho...
Tangu uvunje ungo akili zimekuruka ,uadhadhani waotibiwa private ndio wenye pesa au huko private watu hawafi
Matajili wote wa nchi hii wanafia muhimbili kwani mamako alikwambia pale ni private nyau wewe
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua maana rufaa acha uboya kwenda mloganzila sio umaskini hospital hii hupokea wagonjwa kutoka nchi nzima kama ulikuwa hujui
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Naibu waziri wa TAMISEMI Mwita Waitara amesema 2020 anagombea Tarime kwenye jimbo analoongoza John Heche wa CHADEMA.
Akiongea na Mwananchi, Waitara anasema lazima akachukue jimbo kwani Heche amechokwa na wapiga kura wake na yeye wananchi wanamuhitaji.
Chanzo: Mwananchi
====
Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.